Taarifa toka chanzo cha kuaminika zinadai viwanda 2 vyote viko wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, vimefungwa baada ya kukosa soko la bishaa zake.
Kimoja kilikuwa kikitengeneza mafuta ya kujipodolea na kingine kilikuwa kikitengeneza viungo vya msosi (kilikuwa kikiitwa Vegeta).
Hiki Vegeta hakijamaliza hata mwaka tangu kizinduliwe na waziri mkuu.
Taarifa hizi zinakuja huku kukiwa na kilio cha Nape kuhusu uchumi wa gesi mikoa ya Lindi na Mtwara juu ya kuondoka kwa makampuni yaliyokuwa yamejitokeza kuukukuza uchumi huo. Bila kusahau giza liliotanda kuhusu Dangote na kilio cha soko cha yule muwekezaji wa sukari kule Zanzibar. Najiuliza ndoto ya viwanda itatimia??
Kimoja kilikuwa kikitengeneza mafuta ya kujipodolea na kingine kilikuwa kikitengeneza viungo vya msosi (kilikuwa kikiitwa Vegeta).
Hiki Vegeta hakijamaliza hata mwaka tangu kizinduliwe na waziri mkuu.
Taarifa hizi zinakuja huku kukiwa na kilio cha Nape kuhusu uchumi wa gesi mikoa ya Lindi na Mtwara juu ya kuondoka kwa makampuni yaliyokuwa yamejitokeza kuukukuza uchumi huo. Bila kusahau giza liliotanda kuhusu Dangote na kilio cha soko cha yule muwekezaji wa sukari kule Zanzibar. Najiuliza ndoto ya viwanda itatimia??