KAMPUNI hii ya mafuta ambayo inaelekea kuagiza karibu nusu ya mafuta ytanayoagizwa Tanzania, toka EWURA kutangaza kushushwa bei imekuwa ikitufanyia vituko kwa kuhakikisha karibu vituo vyao vyote havina peteroli.
Je, serikali inajua kinachoendelea na matajiri hawa wa OilCom ambao baba yao tunamjua kama mcha Mungu pamoja na madhambi yake mengine hakuwa mtu wa dhuluma. Iwaje leo wanawe, wafikia kwake na mameneja wake wnatufanyia hivi?
Je, serikali inajua kinachoendelea na matajiri hawa wa OilCom ambao baba yao tunamjua kama mcha Mungu pamoja na madhambi yake mengine hakuwa mtu wa dhuluma. Iwaje leo wanawe, wafikia kwake na mameneja wake wnatufanyia hivi?
Last edited by a moderator: