VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Hatimaye ile ahadi isiyo yakawaida ya Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi,Phillipo Mulugo,aliyoitoasiku ya kutangazwa kwa matokeo ya darasa la saba,imetimia.Wanafunzi wotewaliomaliza darasa la saba mwaka jana na kufaulu,huku Serikali ikijisifu kwakupanda ufaulu,wamerudia mitihani yao jana.
Taarifa nilizonazo zinaonyesha kuwa,mitihani hiyo ilifanywa kwa lugha ileile yaShule za Msingi ingawa imefanywa Sekondarini.Sasa,mitihani inalenga nini hasa?Watakaofeli watachukuliwa wamefeli mitihani ya Darasa la Saba? Watafanywa nini?Vituko juu ya vituko...
Taarifa nilizonazo zinaonyesha kuwa,mitihani hiyo ilifanywa kwa lugha ileile yaShule za Msingi ingawa imefanywa Sekondarini.Sasa,mitihani inalenga nini hasa?Watakaofeli watachukuliwa wamefeli mitihani ya Darasa la Saba? Watafanywa nini?Vituko juu ya vituko...