Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,270
- 8,033
MC akasema,sasa nawapa sifa kubwa ya bibi harusi...........huwa havai nguo za ndani. Watu wakaduwa na kubaki vinywa wazi. Akasema narudia kwa msisitizo na sijakosea.
Bi harusi huwa havai kabisa nguo za ndani......Nguo zake ni za kutoka Italy,England na Marekani,hebu mshangilieni.....Kila mtu Ahaaaa!!!!
Bi harusi huwa havai kabisa nguo za ndani......Nguo zake ni za kutoka Italy,England na Marekani,hebu mshangilieni.....Kila mtu Ahaaaa!!!!