Vituko vya MC kwenye harusi

Utingo

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
10,270
8,033
MC akasema,sasa nawapa sifa kubwa ya bibi harusi...........huwa havai nguo za ndani. Watu wakaduwa na kubaki vinywa wazi. Akasema narudia kwa msisitizo na sijakosea.

Bi harusi huwa havai kabisa nguo za ndani......Nguo zake ni za kutoka Italy,England na Marekani,hebu mshangilieni.....Kila mtu Ahaaaa!!!!
 
Kuna mmoja anaitwa MC. Kikulacho yupo pale Iringa kwa kweli kwa mbwembwe zake huwafanya maharusi wakose raha. Maana huwa anazungumzia details flani flani za mtu mpaka inakuwa kero.
 
hahaaa hahahaa dah unaweza kata mtu kofi ukumbini
i hate mc kwakweli na matani yao ya ajabu
 
MC akasema,sasa nawapa sifa kubwa ya bibi harusi...........huwa havai nguo za ndani. Watu wakaduwa na kubaki vinywa wazi. Akasema narudia kwa msisitizo na sijakosea.

Bi harusi huwa havai kabisa nguo za ndani......Nguo zake ni za kutoka Italy,England na Marekani,hebu mshangilieni.....Kila mtu Ahaaaa!!!!
mm ningekuwa bwana harusi ningeua mtu pale pale nisingengojea hata arudie...
 
Simpatii picha Bwana Harusi.................usikute alishaanza kukunja ngumi! hahahahahahahahahahah:tongue::lol::lol::lol::lol:
 
MC akasema,sasa nawapa sifa kubwa ya bibi harusi...........huwa havai nguo za ndani. Watu wakaduwa na kubaki vinywa wazi. Akasema narudia kwa msisitizo na sijakosea.

Bi harusi huwa havai kabisa nguo za ndani......Nguo zake ni za kutoka Italy,England na Marekani,hebu mshangilieni.....Kila mtu Ahaaaa!!!!

hahhahahaha,... Mc mshenzi sana,hana adabu
 
......ndio yuko sahihi kabisa,kama utaka kuoa usiogope kulala uchi..!..na ukikubali kuolewa usilale na chupi.......!
 
Hili ndilo tatizo la kutanguliza kuwalipa posho ma- MC! Kama asingepewa mshiko kabla, nafikiri angekuwa na nidhamu!
 
Kuna mmoja anaitwa MC. Kikulacho yupo pale Iringa kwa kweli kwa mbwembwe zake huwafanya maharusi wakose raha. Maana huwa anazungumzia details flani flani za mtu mpaka inakuwa kero.
sasa kwanini wanaendelea kumpa kazi ya u-mc
 
Back
Top Bottom