Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 1,658
- 4,866
Narudia tena, vitu vitatu ambavyo kijana wa kiume atakiwi kuvifanya:
1) Usijaribu kumlipia Ada au kumsomesha demu wako.
2) Usijaribu kumsaidia demu wako kupata kazi au ajira.
3) Usijaribu kumnunulia demu wako gari hata upewe limbwata gani.
Amini kwamba, akishafika juu, mkilingana au akikuzidi kimafanikio atakuacha & atatafuta mwanaume mwingine aliyebora zaidi kimaisha.
Muachie afanye jitihada mwenyewe za kufika juu kimafanikio, la sivyo ukijitia kimbele front utaangukia pua.
1) Usijaribu kumlipia Ada au kumsomesha demu wako.
2) Usijaribu kumsaidia demu wako kupata kazi au ajira.
3) Usijaribu kumnunulia demu wako gari hata upewe limbwata gani.
Amini kwamba, akishafika juu, mkilingana au akikuzidi kimafanikio atakuacha & atatafuta mwanaume mwingine aliyebora zaidi kimaisha.
Muachie afanye jitihada mwenyewe za kufika juu kimafanikio, la sivyo ukijitia kimbele front utaangukia pua.