Probably you need to help me out!
Mara Tamwa funga mdomo wako !
Mara Mwananchi newspaper funga mdomo wako!
Mara Viongozi wa dini kaaa kimya-funga midomo yenu
Mara oooooooh damu haitamwagika kuwatisha wananchi
what is behind all this stupidity???? kwanini watu wanatumia madaraka kutunyanyasa? hivi ukipima mwananchi na uhuru lipi gazeti linatakiwa kufungiwa? hivi wanafurahi kuona Tamwa ikiwa wanafiki? hivi hawajui kama viongozi wa dini ni viongozi kama wao, ili uwaongoze waumini lazima uwape elimu sahihi ya urai, siasa inagharimu ukristo na uislamu wao, nani ataabudu kama ana njaa, hana huduma bora, hana matumaini? Hongera Kakobe kwa kuliona hilo na kutoa Elimu ya Urai na kulinda kondoo wako, si vizuri kiongozi kuwa mnafiki -nani hamjui Desmond Tutu kule bondeni???? viongozi wote wa dini zote tunawahitaji kutoa elimu ya urai na kusema ukweli si kuwa manafiki kwa kujali matumbo yao, shehk mkuu baba Pengo -ulishasema sema mafisadi wataiangamiza taifa hili huu ni wakati muafaka kuwakumbusha waumini waache ushabiki wa vyama na unafiki -wawatupilie mbali mafisadi na wanaolea na kuwaprotect mafisadi, wanaowapigia debe ya uongozi mafisadi-kubwa ni hili VITISHO vya nini??????????????? au kushindwa au kujihami au woga wa moto wa Dr.Slaa Dr. wa ukweli achana na madocta wa kupachikwa.
TBC mmeniudhi sana kuficha picha za Dr.Slaa mwanza mwogopeni Mungu sio jkkk
Mara Tamwa funga mdomo wako !
Mara Mwananchi newspaper funga mdomo wako!
Mara Viongozi wa dini kaaa kimya-funga midomo yenu
Mara oooooooh damu haitamwagika kuwatisha wananchi
what is behind all this stupidity???? kwanini watu wanatumia madaraka kutunyanyasa? hivi ukipima mwananchi na uhuru lipi gazeti linatakiwa kufungiwa? hivi wanafurahi kuona Tamwa ikiwa wanafiki? hivi hawajui kama viongozi wa dini ni viongozi kama wao, ili uwaongoze waumini lazima uwape elimu sahihi ya urai, siasa inagharimu ukristo na uislamu wao, nani ataabudu kama ana njaa, hana huduma bora, hana matumaini? Hongera Kakobe kwa kuliona hilo na kutoa Elimu ya Urai na kulinda kondoo wako, si vizuri kiongozi kuwa mnafiki -nani hamjui Desmond Tutu kule bondeni???? viongozi wote wa dini zote tunawahitaji kutoa elimu ya urai na kusema ukweli si kuwa manafiki kwa kujali matumbo yao, shehk mkuu baba Pengo -ulishasema sema mafisadi wataiangamiza taifa hili huu ni wakati muafaka kuwakumbusha waumini waache ushabiki wa vyama na unafiki -wawatupilie mbali mafisadi na wanaolea na kuwaprotect mafisadi, wanaowapigia debe ya uongozi mafisadi-kubwa ni hili VITISHO vya nini??????????????? au kushindwa au kujihami au woga wa moto wa Dr.Slaa Dr. wa ukweli achana na madocta wa kupachikwa.
TBC mmeniudhi sana kuficha picha za Dr.Slaa mwanza mwogopeni Mungu sio jkkk