MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
http://8020fashions.blogspot.com/2010/03/mishi-bs-kitchen-party.html
http://8020fashions.blogspot.com/2010/03/jamilas-kitchen-party.html
http://2.bp.blogspot.com/_mfzF7SFAovg/S4J1wwhi9qI/AAAAAAAAOEg/EOQhYUxZKrU/s1600-h/g.jpg
Jamani nilikuwa naangalia sherehe za siku hizi za wanawali nikajikuta najiuliza kwa sauti
Hivi kama mambo ndio haya, mwanaume anayeoa anajisikiaje? Maana nahisi unapokutana na binti ambaye nyumba nzima kaisheheni mifenicha na takataka zote alizopata kwenye kitchen party yake halafu asiye mstaarabu si anawezakuja kukujibu sikumoja
...... Bwana eeh usinibabaishe kwanza hata kitanda unacholalia ni changu!! au una nini babu wakati nila kitu ndani changu???? Nimeuliza tu maana duh hii sasa kufuru!!
http://8020fashions.blogspot.com/2010/03/jamilas-kitchen-party.html
http://2.bp.blogspot.com/_mfzF7SFAovg/S4J1wwhi9qI/AAAAAAAAOEg/EOQhYUxZKrU/s1600-h/g.jpg
Jamani nilikuwa naangalia sherehe za siku hizi za wanawali nikajikuta najiuliza kwa sauti
Hivi kama mambo ndio haya, mwanaume anayeoa anajisikiaje? Maana nahisi unapokutana na binti ambaye nyumba nzima kaisheheni mifenicha na takataka zote alizopata kwenye kitchen party yake halafu asiye mstaarabu si anawezakuja kukujibu sikumoja
...... Bwana eeh usinibabaishe kwanza hata kitanda unacholalia ni changu!! au una nini babu wakati nila kitu ndani changu???? Nimeuliza tu maana duh hii sasa kufuru!!