Vitchen Party vya siku hizi!

Ningependa kujua wanaume wanaonaje juu ya hii! Wewe ambaye katika kukua kwako unafundishwa kuwa mtafutaji (sisemi kuwa wanawake wakae tu la hasha) na ndio kichwa cha familia- katika mila hizi za kiafrika unapooana na mwenzako kisha siku ya kumchukua sasa na kumpeleka au kumkaribisha rasmi kwenye nyumba yenu ya kupanga anakuja na mlori wa vitu vyote vya ndani- tena vile ambavo kama tulivyoona hapo ni expensive!!

ni sawa na wengine wanaowazawadia mabinti zao magari wakati mume mtarajiwa hana hata baiskeli!
 
Well,

tatizo la watu wa aina hii ni kupenda kufanya vitu ili waonwe na watu na kupata attention...vitu vya hivi huwa havitoki moyoni bali ile urge ya kutaka KUONEKANA....

kama tujuavyo ndoa zinazodumu huwa hazipatani na excessive use ya mambo kama haya, ikiwemo kupenda mambo ya mali zaidi na kujikweza pasipo na mapenzi ya kweli moyoni

hivi vitu vitamsaidia kama tu atakuwa na uelewa wa hali ya juu, mapenzi ya kweli, heshima na adabu...kwa MUMEWE (bila kujali, mumewe ni NANI na ana NINI)

kwa uzoefu wangu , ndoa za mambo hayo huwa hazina maisha marefu, (ceteris paribus)
 
Well,

tatizo la watu wa aina hii ni kupenda kufanya vitu ili waonwe na watu na kupata attention...vitu vya hivi huwa havitoki moyoni bali ile urge ya kutaka KUONEKANA....

kama tujuavyo ndoa zinazodumu huwa hazipatani na excessive use ya mambo kama haya, ikiwemo kupenda mambo ya mali zaidi na kujikweza pasipo na mapenzi ya kweli moyoni

hivi vitu vitamsaidia kama tu atakuwa na uelewa wa hali ya juu, mapenzi ya kweli, heshima na adabu...kwa MUMEWE (bila kujali, mumewe ni NANI na ana NINI)

kwa uzoefu wangu , ndoa za mambo hayo huwa hazina maisha marefu, (ceteris paribus)

asante sana Kaizer jibu lako ni burudani tosha ubarikiwe
 
Well,

tatizo la watu wa aina hii ni kupenda kufanya vitu ili waonwe na watu na kupata attention...vitu vya hivi huwa havitoki moyoni bali ile urge ya kutaka KUONEKANA....

kama tujuavyo ndoa zinazodumu huwa hazipatani na excessive use ya mambo kama haya, ikiwemo kupenda mambo ya mali zaidi na kujikweza pasipo na mapenzi ya kweli moyoni

hivi vitu vitamsaidia kama tu atakuwa na uelewa wa hali ya juu, mapenzi ya kweli, heshima na adabu...kwa MUMEWE (bila kujali, mumewe ni NANI na ana NINI)

kwa uzoefu wangu , ndoa za mambo hayo huwa hazina maisha marefu, (ceteris paribus)

aah binamu, kama kawa naona unatoa somo, very true, very true.
 
Napata tabu kuwapa kadi ya mchango wa kparty ya binti yangu huyu hahahaah:whip:
MJ1 ataiweka kapuni
BHT hii itakaa kwenye meza ofisini kila siku inapigwa danadana
Carmel sijui...
Kina kaka sijui watanichangia :confused3:
 
aah binamu, kama kawa naona unatoa somo, very true, very true.
DUH! yaani carmel sikukushtukia unajua? wapi kale ka avatar kanakoongeza blood presha? mambo niaje?

tukiludi kwenye mada: chikeni pati ni WIZI MTUPU!
 
Napata tabu kuwapa kadi ya mchango wa kparty ya binti yangu huyu hahahaah:whip:
MJ1 ataiweka kapuni
BHT hii itakaa kwenye meza ofisini kila siku inapigwa danadana
Carmel sijui...
Kina kaka sijui watanichangia :confused3:

ikikaaa mezani kwangu ntakuwa nimekuheshimu sana matron, kwa kawaida huwa namrudisha mtu na kadi yake tena namwambia in black n white!!!
 
Ukiangalia vitu vingine hapo kwenye picha ni upotevu wa pesa na makidai tu na huu mgao wa maji na umeme vingi vinaishia kuharibika tu.
 
Jamani First Lady usife moyo we lete tu tutakuchangia kwa ajili ya kununulia mwiko, ipawa na ufagio wa chelewa ila masuala ya kuweka minimum amount ili ukanunue lile ji sita kwa sita la fenicha senta sitaki- Hiyo ni kwa heshima ya mkweo. Maana itakuwa aibu mwali umemkabidhi binti jitanda halafu kila mkwe akijakukutembelea anaona haya kukutizama usoni maana ajua wajua kuwa bintiye 'anachezeshwa' juu ya kitanda cha aina gani lol.

jioni njema
 
Nimeipenda hii picha toto mguu mguu na kijikuku cha kiushkaji

mguu.jpg
 
Nimeipenda hii picha toto mguu mguu na kijikuku cha kiushkaji

mguu.jpg

Eti nimesoma kuwa huo mguu unatakiwa 'ukatiwa insurance'.........kazi ipo...hapo kuna mguu wa kustahili insurance ama mi macho yangu hayaoni siku hizi?
 
Hahahaha, kinadada mipicha mingi ona sasa mpaka mnaogopesha waume watarajiwa.

Hivi mwanamme kamili unaweza kuogopa mwanamke sababu ya vitu? vitu? Ndoa siku hizi inapimwa kwa vitu?

In any case I thought this business was supposed to be done in strict privacy, au ndiyo uzungu tena siku hizi?

Loh Salaaaaaale!
 
Eti nimesoma kuwa huo mguu unatakiwa 'ukatiwa insurance'.........kazi ipo...hapo kuna mguu wa kustahili insurance ama mi macho yangu hayaoni siku hizi?

kuna mtu kaanzisha thread,anataka miguu ya bia umeiona????labda ungemwelewa huyo mwenye kutaka miguu ya bia,ungeelewa kwa nini guu kama hilo hapo juu linahitaji kukatiwa 'insurance'..LOL
 
Hivi mwanamme kamili unaweza kuogopa mwanamke sababu ya vitu? vitu? Ndoa siku hizi inapimwa kwa vitu?

Kiranga hebu rudia post ya Kaizer pale juu sina ufundi wa kuunganisha quote mbili ningeirejea hapa!

Nitaongeza pia; kuna neno; sijui ni neno ama ni kiurahisishi ok neva maind; linaitwa YATOKANAYO eheeeeeeeeee !

Wanaume hatuogopi vitu au mali ambazo bibie anaweza kuja navyo; NOPE kwanza tunafurahi ni ukombozi wa aina fulani kama mchakato mzima unafanywa katika mantiki hiyo; lakini bahati mbaya hali haiko hivyo hata na lengo asilimia kubwa si hilo; Utashangaa kwamba lengo kubwa kwa sasa ni kummpa nguvu huyo bibie katika nyumba; eeh na hayo mambo ya haki sawa kwamba hata katika kuanza life amekuja kabisa na mchango wake tasilimu!
Narudi kule kule kwenye yatokanayo; uwepo wa mali au vitu hivyo vitategemeana na akili ya muhusika; Vinaweza kutumika visivyo na hii ndo wasi wasi wa mtoa maada wanavitumia kama kinga ya manyanyaso na hii ni kwa jinsia zote mbili.
 
Back
Top Bottom