Pamoja sana kamanda.Nadhani Mhariri wa Mwananchi anapitia jukwaa hili.Anapaswa sasa afahamu watanzania wa leo si wa jana na asidhani kwa kashfa zake atachelewesha mageuzi.La hasha......
pia mhariri aangalie Nasari alikuwa anazungumza akiwa katika mazingira yapi? and I believe that's why Mbowe aliweka mambo sawa.