Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 20,692
- 71,591
Wanayo ila wanaangalia wa kushika
Wanaangalia nini ili wasikushike ๐
Wanayo ila wanaangalia wa kushika
Sometimes una waacha tu..
๐๐๐๐๐๐๐
Joto lile ubongo huwa unachemka vibaya mno
Dhana ya "personal space" Tanzania haipo.๐๐๐๐๐๐ Hii ni kwa gender zote lakini...
Nilitaka kusema wawawekee wachuuzi wanawake special kwa ajili ya kuongea na wateja wanawake, kama vile tupo kwenye utawala wa Taliban.Loh! ๐คฆโโ๏ธ
Tunaweza kuweka mifumo ya kujiendesha kistaarabu sehemu nyingi.Kaka mimi kwa mtizamo wangu nadhani pia ni nchi zote kama sio dunia nzima, ustaarabu unaendana na kipato huwezi kuishi uswahilini ukataka ustaarabu ukaeleweka
Kama una kipato cha ustaarabu usirudie tena kwenda huko karume kwenye makekele, nenda maduka makubwa makubwa
Huko Karume waichie hao ambao sio wastaarabu
Walale vizuri kwa raha gani?Ndugu Hilo swali najiuliza pia... Je wanalala vizuri? Haina athari kwa afya?
Bado ipo. Yaani mtu anakudaka toka huku barabarani kabisa. Wengine tunapenda tuwe na uhuru wa kuingia tunapotaka. Tukitaka msaada tutauliza.Wana tabia pia ya kushika wateja kuwalazimisha waende wanapotaka wao
As if wewe hujui unakoenda ๐
Hii tabia sijui wameacha? Sijafika karume miaka minne hii
Katika miaka 20 ijayo, Dar itakua kwa idadi ya watu kutoka milioni 7 ya sasa mpaka takriban milioni 14.Ndugu Hilo swali najiuliza pia... Je wanalala vizuri? Haina athari kwa afya?
Wanakuchukulia powa ๐๐๐๐Unasema tu
Kuacha mtu mmoja sio mbaya,ila kwa Karume naona ni tabia ipo kwa karibia kila mfanya biashara mule
Ama labda mimi wananiona mnyonge wao
noise polution. Ila usitegemee wapige marufuku maana wanaogopa mwaka huu na ujao ni uchaguzi. Labda BAADA. Tegemea mambo ya hovyo hovyo kuzuka na kuongezeka kipindi hiki na hakuna atakayekemea.Juzi niliamua kuingia soko la mitumba Karume kwa mara ya kwanza. Kweli ni sehemu nzuri ya kupata nguo nzuri za mitumba. Ila kuna kero moja isiyovumilika kwa watu tunaopenda ustaarabu.
Kila mfanyabiashara ana spika kwahiyo kelele za pale zimekuwa ni kero kubwa sijui wenyewe wanaonaje ila kwangu palinishinda. Yaani hizi spika ni kero sana.
NEMC WAZIPIGE MARUFUKU NI UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Especially wa DadaWana tabia pia ya kushika wateja kuwalazimisha waende wanapotaka wao
As if wewe hujui unakoenda
Hii tabia sijui wameacha? Sijafika karume miaka minne hii
Wadada ni wahanga wakubwa wa hii kadhia, ukikubali kushikwa mkono jiandae kupapaswa, kuna vijana hawana ustaarabu kabisa.Ndio boss
Karume napapenda lakini hiyo tabia ya kushikana na 'kulazimisha' niende wanakotaka wao siipendi
Bado ipo. Yaani mtu anakudaka toka huku barabarani kabisa. Wengine tunapenda tuwe na uhuru wa kuingia tunapotaka. Tukitaka msaada tutauliza.
Wadada ni wahanga wakubwa wa hii kadhia, ukikubali kushikwa mkono jiandae kupapaswa, kuna vijana hawana ustaarabu kabisa.
Wanaume wanaangalia wa kuwashika, sisi wengine ni ngumi mkononi.