Habari wanajamvi, natumai wote wazima. Naomba kama mtu ana fahamu namna ntakavyoweza kupata visa ya Indonesia, nimejaribu kucheki kwenye mtandao wanasema hawana embassy in Tanzania, so nitafute nearest embassy nchi nyingine. Kuna information nyingine pia zanaonyesha kwamba embassy ipo karibu na Palm beach lakini wanatoa visa for American and Canadian citizens! Yeyote mwenye kujua ntapataje visa anisaidie please! Thank you in advance.