Vipi Refa Anapoamua Kukwatua!?

Sana sana utakachoambiwa ni kuwa Tanzania itapata misaada toka nchi za kiarabu na/au za kiislam. Yaani mpaka leo hii watu wanadhani kuwa nchi yetu itaendelezwa na umatonya?!?!

Hawa jamaa wanapenda vya bure hamna mfano. Ndo maana ikifika Ijumaa wanakwenda kupangana pale kwa Bakhresa Buguruni na nyumbani kwake kule Masaki kuomba, kufanya kazi hawataki na vibaka wengi waliojazana Kariakoo ni haohao wa dini yao. Eti wanataka chombo chao cha kujiamulia mambo yao, si wahame TZ basi waende huko kwa waarabu. Yaani walazimishe uislamu kwenye nchi ya watu wa dini nyingi. Hii hata haingii akilini.
 

Hawa jamaa wanapenda vya bure hamna mfano. Ndo maana ikifika Ijumaa wanakwenda kupangana pale kwa Bakhresa Buguruni na nyumbani kwake kule Masaki kuomba, kufanya kazi hawataki na vibaka wengi waliojazana Kariakoo ni haohao wa dini yao. Eti wanataka chombo chao cha kujiamulia mambo yao, si wahame TZ basi waende huko kwa waarabu. Yaani walazimishe uislamu kwenye nchi ya watu wa dini nyingi. Hii hata haingii akilini.
Fikra zako ndipo zipoishia hapo.
 
asante kwa post yako, wote humu tuna haki ya kusema dukuku zetu kwa namna yoyote ile ya amani nadhani ndio maana hata wamiliki wa site uacha mjadala uendelee regardless of the controveries it may raise.

mi nimeanza kukuelewa angle yako lakini pia we mwenyewe una raise unwanted attention kwa upande wako that is you send a little of negative vibes upon urself. kwa mfano kuna mtu hapo juu tayari kashaita unataka kuifanya tanzania iwe tanzanistan wakati hiyo post has nothing to do with religion(nilivyo elewa mimi) bali asking about our patriotism that is ni jinsi gani tunajiona watanzania kabla ya dini zetu. but kwa nini umuingize mungu kwa jina 'Allah' ukati kwenye huo utanzania unao utaka wewe na kwa maandishi yako wewe kwamba sisi tuwe wa tanzania kwanza kabla ya dini zetu uoni unawakera wengine kabla hata ya kusooma mada yenyewe vizuri. sisi wote tuna dini zetu lakini iwe imani zetu si vibaya kusimamia na kupigania dini yako mkuu hila kila kina mahala pake na kwa upande wangu nadhani kabla sijaingia kwenye post hii, before i got to this post i had to go through Jukwaa la Siasa haya niambie Mh, kuna Allah kweli kwenye uzalendo au kuna mungu ibariki Tanzania ni vizuri kuipenda na kuitetea dini yako lakini basi ziwe mahala na sehemu zinapo husika.

Ukisema Allah siyo kwamba wewe ni Mdini. Unaweza kumtaja Mwenyezi Mungu wakati wowote bila ya kuwa na upendeleo wowote. Wamerakani wanatumia jina la God kwenye siasa zao je ni Wadini? Tusifanye kila kitu kinachasababishwa na kuamini dini ni kibaya. Nilivyomuelewa mimi huyu mwandishi wa mada anazungumzia zaidi kuwa na Biases za Kidini.
 
Mh..hata mimi inanishangaza..hivi tunaweza kutegemea output gani kutoka kwa thread kama hii?

Utumbu mtupu..lol
Utumbo pia una thamani yake, na ndio mana ukaifadhika ndani, na ukakustiri kwa kukuondolea uchafu ambao ungekuletea maradhi.
 
Last edited:
Tulizoea kocha mchezaji, sasa kama Refa naye anakwatua hapo kuna kazi. Ila muhimu ni wakibana, wakitega nk, dawa ni kuwapa ukweli.
 
Tulizoea kocha mchezaji, sasa kama Refa naye anakwatua hapo kuna kazi. Ila muhimu ni wakibana, wakitega nk, dawa ni kuwapa ukweli.
Kina nani na ukweli gani? Jamani ndugu zangu naona kama tunapoteza muda wa kushughulikia maswala ya msingi yanayotuface bila kujali dini zetu.Ingekuwa muhimu sasa tukawekeza nguvu kwenye vitu ambavyo vina add value kwetu as individual, familia jamii na taifa letu. Sikubaliani na hoja kwamba kuna dini iliyodhulumiwa...tena dini yenyewe ni moja wakati Taifa hili lina dini nyingi na nyingine hata kipindi kimoja hazijawahi kutoa mtu kuwa Raisi. Lakini hatuwasikii wakilalama....wamefocus kujiletea maendeleo wao na watoto wao.Iweje kila siku ni dini moja tu inayoonewa Tanzania hii????
 
Kina nani na ukweli gani? Jamani ndugu zangu naona kama tunapoteza muda wa kushughulikia maswala ya msingi yanayotuface bila kujali dini zetu.Ingekuwa muhimu sasa tukawekeza nguvu kwenye vitu ambavyo vina add value kwetu as individual, familia jamii na taifa letu. Sikubaliani na hoja kwamba kuna dini iliyodhulumiwa...tena dini yenyewe ni moja wakati Taifa hili lina dini nyingi na nyingine hata kipindi kimoja hazijawahi kutoa mtu kuwa Raisi. Lakini hatuwasikii wakilalama....wamefocus kujiletea maendeleo wao na watoto wao.Iweje kila siku ni dini moja tu inayoonewa Tanzania hii????
Ukituliza akili na kuiruhusu itafakari vizuri unaweza kugundua hii thread imekusudia kitu gani.

Thanks.
 
Nawaambia kwamba, haki yenu Watanzania isipozidi hiyo ya Wasomi na Mafisadi, hamtaingia kamwe katika Uongozi ulio bora. Mtabakia mkiburuzwa na kuundiwa nyaraka za kuwaziba macho na masikio.
 
Back
Top Bottom