vipi kuhusu data entry ya NIDA

Mkuu unaishi TZ gani..jamaa wapo mzigoni kabla hata Dar hawajaanza kuandikisha vitambulisho vya utaifa.
 
kaka kama ulifanya enterview mwezi wa nane bado hawajaitwa justwait lazima muitwe kwa ajili ya practical enterview baada ya oral,that is all
 
kuna uwezekano kuitwa tena maana nimesikia program inaanza j3 alafu till nao cjaitwa
 
Back
Top Bottom