Vipi kauli ya Kagame kuwa Rwanda ingekuwa na bandari kama ya Dar, huduma zote Rwanda zingekuwa bure?

Kaongea ukweli mtupu Baba Kagame
Hakuna anaye fafanua ufisadi pale bandarini.Tatizo ma ccm hata yakisikia ufisadi mkubwa kama huo bandarini yana ona sawa,maana yana jua kwanamna moja ama nyingine watapata mgao
 
Mbona wa kuu hamna anaye niambia M Bank yenye tawi ofisi za mapato ni ya nani?Hela zina lipwa pale mzigo una toka chap chap
 
Kaongea ukweli mtupu Baba Kagame
Hawataki ukweli hawa.Angalia kwenye uzi huu wanavyo mshambulia Kagame.Rwanda kwa sasa is the fastest growing economy in East Afrca.Wenyewe wana ng'aa macho na ccm nambari one tu.Shame on them!
 
Natamani kuona siku nchi hii ikiongozwa na mtu mwenye upeo na mwenye hofu ya MUNGU ambae atambae haki na hukumu zitakuwa dira ya utendaji wake.
 
Natamani kuona siku nchi hii ikiongozwa na mtu mwenye upeo na mwenye hofu ya MUNGU ambae atambae haki na hukumu zitakuwa dira ya utendaji wake.
Hiyo siku Mkuu usahau kama ni maccm hayahaya yatakuwa madarakani.Yakitoka upo uwezekano huo
 
Kagame is right and has proven that he can change things around for the better; sisi tumprove beyond reasonable doubts kwamba ni parrots and puppets

tatizo lake ni ego
 
Kwa taarifa tu, SA wana bandari zaidi ya 15 na bado wana changamoto za kutosha sana!
 
Vijana wakiacha maandamano na kuhudhuria mikutano ya vyama vya siasa na badala yake wakajikita katika kufanya kazi nchi hii itafika mbali.

Unajua kusoma,lkn ni mzito sana kuelewa. Mada ni uwepo wa bandari usio na tija,wewe unasema vjn.Kwani hao vjn ndio wanasababisha ufanisi mbaya wa bandari?ndio wanaofuja mapato ya bandari?? JITAMBUE,ACHA USHABIKI WA KIPUMBAVU....
 
Angeweza sana tu kutoa huduma bure,na sababu zipo wazi,mfano,idadi ya wafanyakazi na vibarua wote wa bandari ya dar es salaam,ni sawa na idadi ya watumishi wote wa umma wa serikali ya rwanda,pili,idadi ya watu wote wanaoitwa wanafunzi tanzania ,anzia elimu ya awali,msingi,sekondari,vyuo vya kati,vyuo vya ufundi ,hotelia,na vyuo vikuu,jumulisha na wananchi wa manispaa ya kinondoni,kwa pamoja idadi hiyo ni sawa na wananchi wote wa nchi ya rwanda,eneo lote la nchi ya rwanda,ni sawa na nusu ya eneo la mbuga ya selou,au ni sawa na mkoa wa pwani,ukikiondoa kisiwa cha mafia,maana yake,barabara moja inayoanzia dar es salaam mpaka mwanza eneo lake ni sawa na nchi ya rwanda mara nane,hivyo hiyo barabara moja tu ukiichukua ukaipeleka rwanda,wanyarwanda watakosa mashamba na maeneo ya kufugia,kwa uwiano huu,ambao rwanda ni sawa na moja ya wilaya ndogo za tanzania ,ni dhahiri bandari ya dar es salaam inaweza wapa huuma bure wanyarwanda .
 
Angeweza sana tu kutoa huduma bure,na sababu zipo wazi,mfano,idadi ya wafanyakazi na vibarua wote wa bandari ya dar es salaam,ni sawa na idadi ya watumishi wote wa umma wa serikali ya rwanda,pili,idadi ya watu wote wanaoitwa wanafunzi tanzania ,anzia elimu ya awali,msingi,sekondari,vyuo vya kati,vyuo vya ufundi ,hotelia,na vyuo vikuu,jumulisha na wananchi wa manispaa ya kinondoni,kwa pamoja idadi hiyo ni sawa na wananchi wote wa nchi ya rwanda,eneo lote la nchi ya rwanda,ni sawa na nusu ya eneo la mbuga ya selou,au ni sawa na mkoa wa pwani,ukikiondoa kisiwa cha mafia,maana yake,barabara moja inayoanzia dar es salaam mpaka mwanza eneo lake ni sawa na nchi ya rwanda mara nane,hivyo hiyo barabara moja tu ukiichukua ukaipeleka rwanda,wanyarwanda watakosa mashamba na maeneo ya kufugia,kwa uwiano huu,ambao rwanda ni sawa na moja ya wilaya ndogo za tanzania ,ni dhahiri bandari ya dar es salaam inaweza wapa huuma bure wanyarwanda .
Unatoa maelezo yasiyo husiana na wizi wa pesa za mapato ya Bandari
 
Wale wako makini na Nchi yao.Sio hapa watu wanaangalia maslahi yao na ccm yao basi

lakini si unafahamu record yao ya UMASIKINI? ktk kila watu wa3 wa SA kuna mtu mmoja hana kazi! Na ndio nchi inayoongoza kwa UHALIFU barani AFRICA tena wa kutumia silaha!
 
ndiyo maana ni ma giant wa Africa

Huduma za jamii mbovu! Ktk kila watu wa3 kuna mtu mmoja hana kazi! wanaongoza kwa UHALIFU barani AFRICA, huduma za jamii ni bure lakini za hovyo hovyo, shule na hata hospital!
 
Back
Top Bottom