Vipi kauli ya Kagame kuwa Rwanda ingekuwa na bandari kama ya Dar, huduma zote Rwanda zingekuwa bure?

Kagame kwenye issue inayogusa taifa lake, kwamtu yeyote mwizi wa Mali ya umma hana urafiki, hakika nikiongozi wa mfano katika nchi zinazoendelea anajua wajibu wake kwa watu wake,Rwanda hakuna migogoro ya Ardhi, hakuna tofauti ya elimu inayotolewa kwa wanafunzi wa nchi yake, hapa kwetu ni vigumu kujua kipi kinachosimamiwa na mkuu wa nchi, Rwanda kinachochukiwa na mkuu wa nchi kinajulikana, hapendi rushwa wala rushwa wakijulikana wanawajibishwa, rais anawajibika kwa kadri .madaraka yake yalivyo, hapakwetu hadithi, kila idara inafanya inavyotaka, Angekuwa Kagame bandali isingerundikana mizigo, wala hadithi ya rushwa ingekuwa historia,Kagame akipewa bandari

Ukweli ni kwamba ana uzuri wake. Ila uzuri huo unafunikwa na unafiki wake, udikteta, kiburi kisichokuwa na maana, kudharau wenzake na kujifanya anajua saaana kuliko binadamu wengine!!
 
Uyo Kagame anawekeza fitina tu ,amna kitu, kwani hii bahari hapaafrika ipo Tanzania tu ?
 
lakini si unafahamu record yao ya UMASIKINI? ktk kila watu wa3 wa SA kuna mtu mmoja hana kazi! Na ndio nchi inayoongoza kwa UHALIFU barani AFRICA tena wa kutumia silaha!

Acha unafki,viongozi wenu (magamba) wangekuwa wanaenda kutibiwa SA kama kungekuwa na huduma hovyo za kijamii. Embu tafakari kabla ya kuropoka,SA ni nchi tajiri pamoja na ukubwa wake,na hata TZ napo kunaweza kukawa na bandari hata zaidi ya 20 ni ufisadi tu wa ccm na kukosa strategies. Tumieni akili nyie ccm na siyo kila mda kuwa kishabiki. Pumbafu kabisa,mnakera kweli.
 
Web huna lolote,hata tukifanya kazi kwa bidii zote,kama mafisadi wanazichota tu nakuzitorosha itasaidia nini mkuu?Dawa hawa watoke wajaribu wengine

yaani nakubaliana na wewe kabisa , bila kufanya hivyo wao watakuwa kama mungu na ni ngumu kujigundua na kupata maendeleo ya kweli kwa utawala uliopo , ni wakati sasa chama cha upinzani kiwe CCM , ili na wao wapate kioo cha kujiangalia na wagundue wapi walianguka , nchi hii itapata maendeleo naweza sema hata kushinda south africa. tukiendelea kuona CCM siyo chama cha upinzani ujue hatufanikiwi , wao si ndiyo first class economist(mwigulu), wakae pembeni wakosee , kuendesha hawawezi . unapewa silaha , chakula, bila hata kuumwa unakufa kwa kusimama vitani , shame on u ccm(ardhi safi, watu wapo nini kinawasibu)
 
Ukweli ni kwamba ana uzuri wake. Ila uzuri huo unafunikwa na unafiki wake, udikteta, kiburi kisichokuwa na maana, kudharau wenzake na kujifanya anajua saaana kuliko binadamu wengine!!

Anakiburi kwa kuwa ana akili..sasa wewe uwe tabulalasa kila kitu uliambiwa uliambiwa utatoa wapi kiburi
 
Kuna wakati napata taabu sana unapojaribu kuilinganisha Rwanda na Tanzania kanchi ambako huwezi hata kufananisha mkoa wa Tz barabara Dar hadi Arusha ukiiweka Rwanda maana yake umeweka lami hadi vijia vya kwendea chooni kuifananisha nasi ni matusi makubwa hiyo linganisha na Burundi au Znz kama ingekua nchi.
 
kagame kwenye issue inayogusa taifa lake, kwamtu yeyote mwizi wa mali ya umma hana urafiki, hakika nikiongozi wa mfano katika nchi zinazoendelea anajua wajibu wake kwa watu wake,rwanda hakuna migogoro ya ardhi, hakuna tofauti ya elimu inayotolewa kwa wanafunzi wa nchi yake, hapa kwetu ni vigumu kujua kipi kinachosimamiwa na mkuu wa nchi, rwanda kinachochukiwa na mkuu wa nchi kinajulikana, hapendi rushwa wala rushwa wakijulikana wanawajibishwa, rais anawajibika kwa kadri .madaraka yake yalivyo, hapakwetu hadithi, kila idara inafanya inavyotaka, angekuwa kagame bandali isingerundikana mizigo, wala hadithi ya rushwa ingekuwa historia,kagame akipewa bandari

acha upumbavu, hakuna raisi fisadi katika dunia hii kama kagame, analindwa na unafiki wa kuwadhibiti mafisadi dagaa na kuwalinda mafisadi papa ambao wengi ni marafiki zake wa karibu poor kagame
 
kwa nchi kama tanzania yenye watu karibia mil 45 mapato ya bandari ya dar hayawezi kutatua matatizo yote ya uchumi, bandari ya mombasa pia haijatatua matatizo ya kenya, ya beira haijatatua matatizo ya msumbiji na hata ya cape town haijatatua kabisa matatizo ya sa, singapore ni an exceptional case ni nchi ndogo kuliko mkoa wa dar iliyokuwa bandari ya kina kirefu na imezungukwa na nchi ambazo uchumi wake unakuwa kwa kasi kama malysia na indonesia na hawategemei bandari tu singapore imekuwa financial centre kubwa asia etc mfano mwingine chukulia us jimbo kama la louisiana ni jimbo lenye moja ya bandari kubwa us lakini ni masikini kupita landlocked states kama nevada etc,tatizo la pk ana picha kichwani kwamba nchi zote ziko kama rwanda ambayo ni tiny state ndogo kuliko hata kagera na hivi uchumi wake sijui unategemea nini hasa kwa sababu sijawahi kuona kitu chochote made in rwanda!!!
 
Acha unafki,viongozi wenu (magamba) wangekuwa wanaenda kutibiwa SA kama kungekuwa na huduma hovyo za kijamii. Embu tafakari kabla ya kuropoka,SA ni nchi tajiri pamoja na ukubwa wake,na hata TZ napo kunaweza kukawa na bandari hata zaidi ya 20 ni ufisadi tu wa ccm na kukosa strategies. Tumieni akili nyie ccm na siyo kila mda kuwa kishabiki. Pumbafu kabisa,mnakera kweli.

Nilidhani tunaelimishana kuhusu matatizo yetu ya KIUCHUMI na KIJAMII, kumbe tumeshaingia ktk UGOMVI! Mimi si wa hivo Mkuu! bahati mbaya mimi si mfuasi wa CCM kama unavodhani, hata procedures za kukata kadi ya hicho chama sijui, hata ada ya uanachama sijui, hata kujua wana ofisi ndogo lumumba nimejua humu humu JF! Sijasema Tz hakuna UFISADI! Sijasema SA sio nchi tajiri! Nilichokuwa nataka ujue ni kwamba CHANGAMOTO za Kimaendeleo zipo, kila mahali! Kusema ukiwa na bandari kama DSM ndio tayari NEEMA kwa wananchi, bado linaitaji ushahidi! Hata hao watu wanaokwenda SA kutibiwa, wanatibiwa ktk hospitali ambazo hata raia wa SA wenyewe hawawezi kumudu gharama! Ni kama vile mtu aje anasifia Tz kila kata kuna shule ya secondary wakati hata wewe mwenyewe unajua kile kinachoitwa shule za kata ni zaidi ya maigizo! Ni kama vile mkenya ama mganda akusifie Tz kuna elimu bora kwa kutolea mfano FEZA SCHOOLS, MARIAN GIRLS na zinazofanana na hizo wakati wewe mwenyewe unajua ni wa-Tz wangapi wana uwezo wa kupeleka watoto ktk shule tajwa!
Mkuu punguza mapovu!
 
kuna wakati napata taabu sana unapojaribu kuilinganisha rwanda na tanzania kanchi ambako huwezi hata kufananisha mkoa wa tz barabara dar hadi arusha ukiiweka rwanda maana yake umeweka lami hadi vijia vya kwendea chooni kuifananisha nasi ni matusi makubwa hiyo linganisha na burundi au znz kama ingekua nchi.

nashindwa kuelewa watu ambao hawataki kuutambua uhalisia wa mambo, kagame anapiga chapuo ikiwezekana awe rais wa eac kwa kuichafua taswira ya tanzania na watanzania kwa gharama yoyote kumbuka alivyotishia kumhit raisi wetu, raisi tuliomchagua! Watanzania tuache uzezeta ! Kama raisi uliyemchagua amedhalilishwa sijui mtanzania wakawaida utakuwa wapi?
 
Kagame kwenye issue inayogusa taifa lake, kwamtu yeyote mwizi wa Mali ya umma hana urafiki, hakika nikiongozi wa mfano katika nchi zinazoendelea anajua wajibu wake kwa watu wake,Rwanda hakuna migogoro ya Ardhi, hakuna tofauti ya elimu inayotolewa kwa wanafunzi wa nchi yake, hapa kwetu ni vigumu kujua kipi kinachosimamiwa na mkuu wa nchi, Rwanda kinachochukiwa na mkuu wa nchi kinajulikana, hapendi rushwa wala rushwa wakijulikana wanawajibishwa, rais anawajibika kwa kadri .madaraka yake yalivyo, hapakwetu hadithi, kila idara inafanya inavyotaka, Angekuwa Kagame bandali isingerundikana mizigo, wala hadithi ya rushwa ingekuwa historia,Kagame akipewa bandari

Kagame alishakwambia anataka kutawala Rwanda kama Kampuni na yeye ndio CEO, unafikiri ana masihara?
 
nasikitika watanzania tunasubiri nini kumshikisha adabu huyu nyoka wa kijani
Wenzako wanaongelea Port economy wewe unaleta hate propaganda,ulikimbizwa Rwanda for genocide Leo unajifanya mbongo,seems huku hawakujui na idealogue zako za interahamwe...unahitajika arusha mshamba wewe na uache kubadili I'd kila siku
 
Kuna wakati napata taabu sana unapojaribu kuilinganisha Rwanda na Tanzania kanchi ambako huwezi hata kufananisha mkoa wa Tz barabara Dar hadi Arusha ukiiweka Rwanda maana yake umeweka lami hadi vijia vya kwendea chooni kuifananisha nasi ni matusi makubwa hiyo linganisha na Burundi au Znz kama ingekua nchi.
Ukubwa wa nchi kama mna viongozi wenye uzalendo wasio na ubinafsi ni nafasi nzuri ya kuendelea mkuu.India,China na hata Marekani ni mifano michache tu ya nchi ikiwa kubwa
 
Back
Top Bottom