Kwa muda mrefu kumekuwa na msisitizo kuhusu kujiuzuru kwa Hosea and Jairo, lakini serikali imekuwa ililifumbia macho na masikio, ingawa sijui ni kwa maslahi ya nani ? Kama mawaziri na wengine waliyohusika wamewajibishwa, na "hatua zaidi" zinatarajiwa kuchukuliwa kuhusiana na tuhuma zao, hivyo basi na hao "waheshimiwa", nao wapate kinacho stahili, ili tuwe kweli na utawala bora.