AmaniKatoshi
Senior Member
- Mar 31, 2009
- 158
- 14
Katika hotuba yake bungeni tarehe 18 november , 2010, Raisi JK aligusia kwa umahiri vipengele 13 vya serekali yake kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.
Kwa mujibu wa gazeti la Habarileo la tarehe 19 November, kipengele cha 13 kilikuwa (nanukuu)
"Kipaumbele cha mwisho ni kulinda mafanikio yaliyopatikana katika kipindi cha miaka mitano iliyopita na kukamilisha ahadi za mwaka 2005 ambazo hazijatekelezwa"
Leo gazeti la Tanzania daiam limetoa TAARIFA ya Tanesco kuhusu mgao mkubwa wa umeme.
Sasa tukiangalia matatizo ya umeme yaliyoikumba nchi wakati JK anaongoza miaka 5 ya kwanza hadi kufikia Lowassa kujiuzulu kwa kashfa ya Richmond...tujiulize
Je mamatizo ya umeme yanahusiana na kipaumbele cha 13?
Je, kipaumbele cha pili cha kukuza uchumi kinalindwaje na kurudisha mgao wa umeme?
Je katika listi ya mikoa inayoanza kukaa gizani toka leo (isource: tanzania daima), kuna uhusiano kati ya Mkoa wa Kinondoni, Arusha na Kilimanjaro kukosa umeme kwa sababu walichagua wapinzani?
Je machungu ya umeme ni moja ya yale yaliyotabiriwa hapa JF kabla ya 31/October?
Nisaidieni wana Jf
Kwa mujibu wa gazeti la Habarileo la tarehe 19 November, kipengele cha 13 kilikuwa (nanukuu)
"Kipaumbele cha mwisho ni kulinda mafanikio yaliyopatikana katika kipindi cha miaka mitano iliyopita na kukamilisha ahadi za mwaka 2005 ambazo hazijatekelezwa"
Leo gazeti la Tanzania daiam limetoa TAARIFA ya Tanesco kuhusu mgao mkubwa wa umeme.
Sasa tukiangalia matatizo ya umeme yaliyoikumba nchi wakati JK anaongoza miaka 5 ya kwanza hadi kufikia Lowassa kujiuzulu kwa kashfa ya Richmond...tujiulize
Je mamatizo ya umeme yanahusiana na kipaumbele cha 13?
Je, kipaumbele cha pili cha kukuza uchumi kinalindwaje na kurudisha mgao wa umeme?
Je katika listi ya mikoa inayoanza kukaa gizani toka leo (isource: tanzania daima), kuna uhusiano kati ya Mkoa wa Kinondoni, Arusha na Kilimanjaro kukosa umeme kwa sababu walichagua wapinzani?
Je machungu ya umeme ni moja ya yale yaliyotabiriwa hapa JF kabla ya 31/October?
Nisaidieni wana Jf