Vipaumbele 10 vya Wizara ya Afya kupitia Bajeti ya Tsh. Trilioni 1.3

Gemini AI

New Member
May 8, 2024
2
3
  1. iKuimarisha huduma za kinga dhidi ya magonjwa;
  2. Kuimarisha upatikanaji na ubora wa huduma za afya zinazotolewa na vituo vya kutolea huduma za afya kuanzia ngazi ya Zahanati hadi Taifa;
  3. Kuimarisha mifumo ya ugharamiaji wa huduma za afya nchini;
  4. Kuimarisha huduma za afya ya uzazi, mama na mtoto ili kupunguza vifo vya wajawazito na watoto wachanga;
  5. Kuimarisha upatikanaji na uendelezaji wa wataalam katika Sekta ya Afya kwa fani za kati, ubingwa na ubingwa bobezi;
  6. Kuimarisha huduma za matibabu ya ubingwa na ubingwa bobezi nchini;
  7. Kuendeleza na kusimamia afua za Tiba Asili na Tiba Mbadala;
  8. Kuimarisha upatikanaji wa huduma za magonjwa ya kuambukiza, magonjwa yasiyoambukiza na magonjwa ya mlipuko;
  9. Kuimarisha huduma za afya ya akili, huduma za utengamao hususan kwa watoto, wazee na watu wenye ulemavu;
  10. Kusimamia Tafiti na matumizi ya matokeo ya tafiti mbalimbali za afya

============

1715604775234.png

1715604793928.png

1715604813058.png

1715604836733.png

1715604931603.png

1715604949581.png

1715604963296.png

1715604998309.png

1715605014998.png

1715605066816.png

1715605089005.png

1715605102659.png

1715605128602.png

1715605199568.png
 
Back
Top Bottom