Hata Marekani waliwapeleka watuhumiwa wa ugaidi Guantanamo kuwatenganisha na wale wa kawaida.
Ila nina wasi wasi na hili hapa kwetu. Sijaamini bado.
Hivi kama watahukumiwa kufungwa mtawafunga jela maalumu kuogopa lawama kama watadhuruliwa? Basi anzeni kujenga gereza lao kama Guantanamo.
Ila nina wasi wasi na hili hapa kwetu. Sijaamini bado.
Hivi kama watahukumiwa kufungwa mtawafunga jela maalumu kuogopa lawama kama watadhuruliwa? Basi anzeni kujenga gereza lao kama Guantanamo.