mpayukaji
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 940
- 349
Habari kuwa waziri mkuu aliyefurushwa na kashfa ya Richmond alikwenda Ujerumani kupima macho ni ushahidi kuwa watawala wetu ni wabinafsi. Namna hii hata madaktari wakigoma hawatashughulika kero zao kwa vile migomo yao haiwahusu.
Ajabu wanatumia pesa yetu wakituacha sisi tunakufa.
Ajabu wanatumia pesa yetu wakituacha sisi tunakufa.