Ndugu zang wa jf
jana niliangalia taarifa ya habari ya saa 2 usiku TBC1 na kumwona madega na mwakalebela if not kaijage wakitao maoni yao juu katika hafla ya kurudisha form ya kugombea uraisi kupitia CCM. Wote wakiwa na mavazi ya CCM.
Najaribu kujiuliza kiongozi wa TFF/club kuhudhuria mambo ya chama ni sawa?
jana niliangalia taarifa ya habari ya saa 2 usiku TBC1 na kumwona madega na mwakalebela if not kaijage wakitao maoni yao juu katika hafla ya kurudisha form ya kugombea uraisi kupitia CCM. Wote wakiwa na mavazi ya CCM.
Najaribu kujiuliza kiongozi wa TFF/club kuhudhuria mambo ya chama ni sawa?