John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,341
kutoka page yao ya facebook.
"TUPO MAHAKAMANI HAPA............ Ndugu Wakiisalamu.
Assalama Aleykum W.W Hapa Tupo mahakama ya Mwanakwerekwe
tunawasubiri viongozi wetu waletwe hapa.ili
tusikilize hiyo kesi na tuweze kuwachukulia
dhamana.
Ila kwa kumujibu wa wakili wetu anasema
wanashtakiwa kwa kuchochoe vurugu zanzibar. Tunaombwa waislamu tuje kwa wingi na Tuje na
vitambulisho vyetu vya Mzanzibar ikiwa vitahitajika
kuchukua dhamana.
Vile vile tunaombwa Waislamu tuchangie harakati
hizi kwani ukiachia viongozi kuna watu wengine
walokamatwa wanafika 60 wote wanahitaji msaada wetu hiyo basi baada ya muda mfupi tutaweka
acount yetu ya Tigo Pesa iliuweze kuchangia jitihada
hizi. Kwa wale ambao hawatumii huduma hii wanaweza
kuchangia kwa kupeleka mchango wao mskiti wa
mbuyuni kwa Imamu. WABILAHI TAUFIQ
TUACHIWEE......TUPUMUWEE..."
"TUPO MAHAKAMANI HAPA............ Ndugu Wakiisalamu.
Assalama Aleykum W.W Hapa Tupo mahakama ya Mwanakwerekwe
tunawasubiri viongozi wetu waletwe hapa.ili
tusikilize hiyo kesi na tuweze kuwachukulia
dhamana.
Ila kwa kumujibu wa wakili wetu anasema
wanashtakiwa kwa kuchochoe vurugu zanzibar. Tunaombwa waislamu tuje kwa wingi na Tuje na
vitambulisho vyetu vya Mzanzibar ikiwa vitahitajika
kuchukua dhamana.
Vile vile tunaombwa Waislamu tuchangie harakati
hizi kwani ukiachia viongozi kuna watu wengine
walokamatwa wanafika 60 wote wanahitaji msaada wetu hiyo basi baada ya muda mfupi tutaweka
acount yetu ya Tigo Pesa iliuweze kuchangia jitihada
hizi. Kwa wale ambao hawatumii huduma hii wanaweza
kuchangia kwa kupeleka mchango wao mskiti wa
mbuyuni kwa Imamu. WABILAHI TAUFIQ
TUACHIWEE......TUPUMUWEE..."