Viongozi wa Tanganyika/Tanzania Munamtukuza ( ) Lakini Maneno yake Hamuyatekelezi

GHIBUU

JF-Expert Member
Jan 13, 2011
4,432
3,006
Nashangwazwa sana kuona watanganyika wanamtukuza sana Nyerere Kwa jina jengine munamwita baba wa taifa,katika hutuba yake baba huyu ya 1995 aliongea kuhusu muungano wa tanzania.

Alitamka haya.
Ikiwa wazanzibari wataamua wenywe kujitenga bila ya kushindikizwa na taifa lolote basi waacheni wajitenge,haya maneno aliongea mbele za umma kwa kinywa kipanda.

Tumeshuhudia migogoro ya muungano tuka ufanyike muungano huu,na mwisho juzi tu katika majadiliano ya katiba wazanzibari wametamka live live kuwa muungano hawautaki.

Sasa mbona viongozi wanaulazimisha muungano,wakati baba yenu ameshatamka kuwa tukiamua kujitenga wazanzbari tuachiwe kwa nini munatulazimisha ? 208238_10150146352486176_721596175_6946057_2281263_n.jpg 218173_10150146350811176_721596175_6946051_3575373_n.jpg 1963-UN-Zanzibar.jpg
 
Nashangwazwa sana kuona watanganyika wanamtukuza sana Nyerere Kwa jina jengine munamwita baba wa taifa,katika hutuba yake baba huyu ya 1995 aliongea kuhusu muungano wa tanzania.

Alitamka haya.
Ikiwa wazanzibari wataamua wenywe kujitenga bila ya kushindikizwa na taifa lolote basi waacheni wajitenge,haya maneno aliongea mbele za umma kwa kinywa kipanda.

Tumeshuhudia migogoro ya muungano tuka ufanyike muungano huu,na mwisho juzi tu katika majadiliano ya katiba wazanzibari wametamka live live kuwa muungano hawautaki.

Sasa mbona viongozi wanaulazimisha muungano,wakati baba yenu ameshatamka kuwa tukiamua kujitenga wazanzbari tuachiwe kwa nini munatulazimisha ?View attachment 29563View attachment 29564View attachment 29565

Kwenye red umeandika as if wewe Mkongo vile, halafu baadae unaharibu hapo kwenye buluu!
 
Nashangwazwa sana kuona watanganyika wanamtukuza sana Nyerere Kwa jina jengine munamwita baba wa taifa,katika hutuba yake baba huyu ya 1995 aliongea kuhusu muungano wa tanzania.

Alitamka haya.
Ikiwa wazanzibari wataamua wenywe kujitenga bila ya kushindikizwa na taifa lolote basi waacheni wajitenge,haya maneno aliongea mbele za umma kwa kinywa kipanda.

Tumeshuhudia migogoro ya muungano tuka ufanyike muungano huu,na mwisho juzi tu katika majadiliano ya katiba wazanzibari wametamka live live kuwa muungano hawautaki.

Sasa mbona viongozi wanaulazimisha muungano,wakati baba yenu ameshatamka kuwa tukiamua kujitenga wazanzbari tuachiwe kwa nini munatulazimisha ?View attachment 29563View attachment 29564View attachment 29565

Kwenye red umeandika as if wewe Mkongo vile, halafu baadae unaharibu hapo kwenye buluu!
 
Nashangwazwa sana kuona watanganyika wanamtukuza sana Nyerere Kwa jina jengine munamwita baba wa taifa,katika hutuba yake baba huyu ya 1995 aliongea kuhusu muungano wa tanzania.

Alitamka haya.
Ikiwa wazanzibari wataamua wenywe kujitenga bila ya kushindikizwa na taifa lolote basi waacheni wajitenge,haya maneno aliongea mbele za umma kwa kinywa kipanda.

Tumeshuhudia migogoro ya muungano tuka ufanyike muungano huu,na mwisho juzi tu katika majadiliano ya katiba wazanzibari wametamka live live kuwa muungano hawautaki.

Sasa mbona viongozi wanaulazimisha muungano,wakati baba yenu ameshatamka kuwa tukiamua kujitenga wazanzbari tuachiwe kwa nini munatulazimisha ?View attachment 29563View attachment 29564View attachment 29565

Kama mnauchukia Muungano msingeusherehekea tarehe 26/04/2011! Acheni unafiki!

GO9G0927.JPG

Rais wa Jamhuri ya Muungao wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais wa Zanzibar Dkt.Ali Mohamed Shein muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa Michezo wa Amaani mjini Unguja kuongoza sherehe za miaka 47 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

GO9G0909.JPG

RAIS JK AKISALIMIANA NA MAMA FATMA KARUME PAMOJA NA MAMA SITTI MWINYI WAKATI WA KUSHEREHEKEA MIAKA 47 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR!
 
Sasa anacheka nini? amdanganye nani kuwa mambo poa? hili ndio tatizo, viongozi kuchekeana huku wakituumiza raia
 
Kama mnauchukia Muungano msingeusherehekea tarehe 26/04/2011! Acheni unafiki!

GO9G0927.JPG

Rais wa Jamhuri ya Muungao wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais wa Zanzibar Dkt.Ali Mohamed Shein muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa Michezo wa Amaani mjini Unguja kuongoza sherehe za miaka 47 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

GO9G0909.JPG

RAIS JK AKISALIMIANA NA MAMA FATMA KARUME PAMOJA NA MAMA SITTI MWINYI WAKATI WA KUSHEREHEKEA MIAKA 47 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR!
Huyu Rais aliwekwa hapa zanzbar kwa mabavu,lakini muungano wananchi hawautaki..na wewe angalia hapa...

 
Last edited by a moderator:
Tusipoangalia Zanzibar itatupinduwa na kututawala, vikosi vya majeshi yao yako kwao na tiifu kwa Rais wa Zanzibar, vikosi vya Bara wanavyo wao, Rais wetu ni Muislamu na inadaiwa yupo upande wa Zanzibar ki vyovyote, na tukumbuke Bagamoyo ni sawa na Zanzibar kuliko bara, pia Rais siasa ameianza akiishi Zanzibar, au ni mradi wao wa muda mrefu? pia Mwinyi ndie aliyefanya kila jitihada ya kumchukua huyu kanali na kumpa wizara nyeti ya nje, kisha akajaribu kugombea hapohapo kabla Kifimbo hajamzuia, mi naona tumeshakwisha, hizi tabasamu za Jk wakati jamii hasa ya bara inaangamia, sasa hao waliochomewa? na teyari wameandaliwa wanasheria na pesa kuwasaidia hao mashujaa waliochoma maduka wa wabara www.mzalendo.net
 
Tusipoangalia Zanzibar itatupinduwa na kututawala, vikosi vya majeshi yao yako kwao na tiifu kwa Rais wa Zanzibar, vikosi vya Bara wanavyo wao, Rais wetu ni Muislamu na inadaiwa yupo upande wa Zanzibar ki vyovyote, na tukumbuke Bagamoyo ni sawa na Zanzibar kuliko bara, pia Rais siasa ameianza akiishi Zanzibar, au ni mradi wao wa muda mrefu? pia Mwinyi ndie aliyefanya kila jitihada ya kumchukua huyu kanali na kumpa wizara nyeti ya nje, kisha akajaribu kugombea hapohapo kabla Kifimbo hajamzuia, mi naona tumeshakwisha, hizi tabasamu za Jk wakati jamii hasa ya bara inaangamia, sasa hao waliochomewa? na teyari wameandaliwa wanasheria na pesa kuwasaidia hao mashujaa waliochoma maduka wa wabara
www.mzalendo.net

Pindua uwone hapa tanzania itakavyokuwa kama iraq,tutajitoa muhanga hadi dunia inamaliza,wewe unafanya mchezo na maisha eeeh,,watu wamechoka na maisha,bunduki na bomu hapa zanzbar ni kama panda na yubabendi zile tunavyocheza utotoni,,,,

Be careful na maneno yako,,,
 
Back
Top Bottom