Viongozi wa miaka nenda miaka rudi

Modereta

Senior Member
Jul 24, 2008
164
17
45 years ago, Kibaki and Michuki were in Cabinet and Kennedy was running for Presidency. Obama was 1 year old.

45 years later, Kibaki and Michuki are still in cabinet, and Obama is a candidate for the same seat Kennedy was running.

In 45 years, Obamas father is dead, we have had Johnson, Carter, Nixon, Ford, Reagan, Clinton, Bush 1 and Bush 2 in USA in between as presidents but in Kenya the same guys in their 70's and 80's are still trying to tell Kenyans they can make development models that work?' Makes u think??


Something is seriously wrong !!!!!
It is time to change and we are the ones to bring these changes. WHAT CAN WE DO???????????????
 
Umasikini mbaya sana broda! Lakini pia, hao viongozi wa kiafrica uliowataja ni matajiri waliopindukia, na hivyo wanapata urahisi kuvuruga wapiga kura kwa senti zao chafu, na kutokana na njaa zetu tunapofuka macho na akili, na kuwaona wanafaa for all those decades!Kwa wenzetu si hivyo! Ni ngumu kum'bribe mtu bila kumletea maendeleo tarajiwa! Cha kufanya kwa sasa ni kukubali kwamba tuko nyuma kwa miongo mingi sana, hivyo tuanze kujifunza na kuelimika seriously, na ukombozi wa kifikra na akili ndio utakaotubadilisha!...period!
 
45 years ago, Kibaki and Michuki were in Cabinet and Kennedy was running for Presidency. Obama was 1 year old.

45 years later, Kibaki and Michuki are still in cabinet, and Obama is a candidate for the same seat Kennedy was running.

In 45 years, Obamas father is dead, we have had Johnson, Carter, Nixon, Ford, Reagan, Clinton, Bush 1 and Bush 2 in USA in between as presidents but in Kenya the same guys in their 70's and 80's are still trying to tell Kenyans they can make development models that work?' Makes u think??


Something is seriously wrong !!!!!
It is time to change and we are the ones to bring these changes. WHAT CAN WE DO???????????????

The correct chronological order should have been: Johnson, Nixon, Carter, Reagan, Bush 1, Clinton, and Bush 2. it is just angalizo, Mjomba.
 
Back
Top Bottom