Viongozi wa Kidini ambao ni Wajumbe wa Bunge la Katiba watoa Tamko kuhusu Bunge

Hawa jamaa vipi? Eti kanuni hazijawahi kuvunjwa! Wamesahau/wamejisahaulisha kanuni zinasemaje kuhusu nani alipaswa kulihutubia Bungee kwanza.Kati ya M/kiti wa tume ya katiba na Rais, na nini kilitokea?
 
Jongo ni CCM na Mhagachi ni yule Askofu aliyetajwa na Lissu kuwa ni CCM na anagombea Ubunge kupitia CCM .........hii nayo ni kali kuliko ,,,,,,,,,,,
 
Huyu Katibu Mkuu wa CHADEMA huwa ni mwepesi sana kula kiapo na pia ni mwepesi sana kuasi kiapo!

Kondoo aliokabidhiwa na Mungu kuwalinda baada ya kula kiapo, aliamua kuwatelekeza baada ya muda, akaamua tena kula kiapo cha ndoa ambacho nacho haikupita muda akaamua tena kukiasi.

What's next for Dr. Slaa?
293125_399618333421009_801864624_n.jpg


rose.JPG
Wee wacha wivu wa kike kwa mwanamme mwenzio hizo single zilishachuja zamani enzi za twist na laizoni,siku hizi tunaenda kidijitali zaidi.
 
Sijawahi ona shekhe mwenye njaa kama Jongo asipopata posho atalia kama alivyomlilia Nyerere, mnafiki sana
 
ukawa kalakabao. indocrination imewaacha kama waomini wa siasa kali ya kidini. hili la katiba hakika mnawachwa kwenye mataa kwa kuaminishwa uongo na akina lissu. bmk linatunga katiba itakayokubaliwa na wananchi na hamtakua sehemu yake.
 
Dini na siasa ni fani zinazofanana sana katika utekerezaji wake tofauti pekee kati ya hivyo viwili ni kuwa dini ilitngulia kupata waumini ndiyo ikafuata siasa,sasa yanayotendeka Dodoma ni mchezo wa kuigiza ambao hakuna namna ya kuuhalalisha baada ya kupoteza pesa nyingi tu kwa kuunda tume ambayo hata hivyo inadharauliwa na BMK.sijui kama kuna watu bado wanaendelea kufuatilia vikao vya BMK,ingependeza sana kama wengeendelea kutunga hiyo katiba bila kutoka na matamko ya viongozi wa dini.kinachosubiriwa ni kura ya maoni tu.
 
Aibu aibu aibu. Sikutegemeaviongozi wa dini mnaweza shirikiana na majamba kuangamiza taifa. Najiamibnisha nyie sio viongozi wa dini bali njaazenu zinawafanya mumkane hata Mungu. Laaana itawakuta.
 
Mungu wasamehe bakwata kikristo maana hawajui watendalo. Yawezekana 300,000/= zimewapofua. Hata kanuni zenyewe hawazioni. Kwani kati ya 6 na warioba +a.ramadhani ni nani anajua kukusanya maoni ya wananchi.
 
itafika maali hawa viongozi wa dini wa sampuli ihi watadharauliwa sana machoni pawatu.mimi najiuliza ni mungu yupi wanamtumikia? mungu wa haki? au mungu wa dhuluma? ikiwa ni mungu wa haki basi wangesimama upande wa wananchi.kutetea haki zao kama alivyo fanya mtume muhamadi na bwana yesu.dhambi ihi itawatafuna.
 
Hawa jamaa vipi? Eti kanuni hazijawahi kuvunjwa! Wamesahau/wamejisahaulisha kanuni zinasemaje kuhusu nani alipaswa kulihutubia Bungee kwanza.Kati ya M/kiti wa tume ya katiba na Rais, na nini kilitokea?
Hawajui walisemalo hawa wanaojiita viongozi wa dini ndani ya Bunge. wanahitaji kuombewa watakuwa na mapepo tu si bure
 
Viongozi vipofu, wachungaji vipofu, wanafiki waroho... Huyo babu yenu sitta anaangamia na nyie. Askofu mnarubuniwa na hicho kiposho... U make wanna pukee...

hao sio viongozi wa dini bali viongozi na waabudu shetani wakubwa,imeandikwa usihukumu usije ukahukumiwa,bora kuhukumiwa kuliko kuwa na viongozi wa kiroho wapuuzi kiasi hiki.
 
Mmmmmmmmmmmh kweli wahenga hawakukosea kusema pesa ni sabuni ya roho. Wanatuzalilisha hata waumini wote wa hizo dini,afadhari wapagani maana wao hawana mwakilishi kwa sababu si wa Mungu,ss wenye imani hizo wawakilishi wetu ndo hao.
 
Huyu Katibu Mkuu wa CHADEMA huwa ni mwepesi sana kula kiapo na pia ni mwepesi sana kuasi kiapo!

Kondoo aliokabidhiwa na Mungu kuwalinda baada ya kula kiapo, aliamua kuwatelekeza baada ya muda, akaamua tena kula kiapo cha ndoa ambacho nacho haikupita muda akaamua tena kukiasi.

What's next for Dr. Slaa?
293125_399618333421009_801864624_n.jpg


rose.JPG
Kachukue fasta book saba maana mko wengi siku hizi na Lumumba wako too selective sana wahi sana ndugu yangu.
 
Back
Top Bottom