Mbelwa Germano
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 789
- 289
Heshima kwako Mkuu!
Katika muendelezo wa kuendelea kukubalika kwa CDM wanachama na baadhi ya viongozi wa CUF kata ya kwemashai na Ngulwi jimbo la Lushoto wametangaza kujiunga na CDM wiki ijayo kutokana na kile walichodai ni chama cha CUF kukosa mwelekeo na tumaini la Watanzania kwa vyama vya upinzani nchini kubakia kwa CHADEMA.
Aidha baadhi ya wanachama wa CUF wamefurahishwa kwa jinsi CDM ilivyo na mikakati imara ya kienezi inayolenga kukimarisha chama.
Nitatoa taarifa rasmi wiki ijayo baada ya taratibu zitakapokamilika.
Katika muendelezo wa kuendelea kukubalika kwa CDM wanachama na baadhi ya viongozi wa CUF kata ya kwemashai na Ngulwi jimbo la Lushoto wametangaza kujiunga na CDM wiki ijayo kutokana na kile walichodai ni chama cha CUF kukosa mwelekeo na tumaini la Watanzania kwa vyama vya upinzani nchini kubakia kwa CHADEMA.
Aidha baadhi ya wanachama wa CUF wamefurahishwa kwa jinsi CDM ilivyo na mikakati imara ya kienezi inayolenga kukimarisha chama.
Nitatoa taarifa rasmi wiki ijayo baada ya taratibu zitakapokamilika.