Hujatoa a single cent of a dollar kwa ziara hiyo, wezi wakubwa wa kodi yangu ni ccm wakiongozwa na royal familiesMatumizi ya hovyo kabisa ya kodi za watanzania
Hujatoa a single cent of a dollar kwa ziara hiyo, wezi wakubwa wa kodi yangu ni ccm wakiongozwa na royal familiesMatumizi ya hovyo kabisa ya kodi za watanzania
Wamebugia Ruzuku (kodi) yote mpaka Chopa limeishiwa mafuta. Kama kawaida kazi ya kuomba omba imeanzaKwa kuanzia watatembelea Italia na Ujerumani .
Taarifa kamili ya ziara hiyo ya Ghafla hii hapa
View attachment 2646728
Viongozi wenu hao wamewafanya mabwege wanachama wao. Wamebugia ASALI, Wakakandamiza RUZUKU na sasa wanaruka kwenda KUOMBAOMBA.Wasalimie hapo Nyegezi Stendi mpya , hivi bado unauza vile vipande vya matikiti na Matango au umebadili biashara ?
Hawezi kutembeza BAKULI kenye nchi masikini!!Mkuu 'Erythro' hii ni "Ziara" ya 'Fumbo/Mafumbo'.
Ziara ambayo Mwenyekiti wa Chama, Makamu wa Mwenyekiti na Katibu Mkuu wa Chama wanaambatana kwa pamoja katika ujumbe mmoja...!
Ziara ya Italy na Ujerumani? Wamealikwa?
Kuna wajinga fulani huwa wana maswali ya kipumbavu kidogo, wakihoji ni lina patakuwepo na ziara za namna hiyo kwenye nchi kama zile za akina Hichilema, ambapo pengine kuna jambo moja au mawili ya kujifunza jinsi gani zilivyoweza kupambana na kushinda?
Ujue na mama yako ni cjademaViongozi wenu hao wamewafanya mabwege wanachama wao. Wamebugia ASALI, Wakakandamiza RUZUKU na sasa wanaruka kwenda KUOMBAOMBA.
Halafu nyie Nyumbu mpo bongo mnashangilia tu kama mazuri. Pathetic
Mkuu usihangaike na WajingaUjue na mama yako ni cjadema
Wananiudhi nashindwa kujizuiaMkuu usihangaike na Wajinga
HakikaAjenda kuu ktk ziara hiyo iwe ni kushinikiza upatikanaji wa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi
Sina shaka yoyote kuhusu "Muda kujibu..."; hofu yangu kubwa ni 'majibu' yatakayopatikana katika muda huo.Muda utajibu maswali yako
Bado sijaelewa kwanini hujaridhika na ziara hiiSina shaka yoyote kuhusu "Muda kujibu..."; hofu yangu kubwa ni 'majibu' yatakayopatikana katika muda huo.
Nina mashaka makubwa sana kuhusu majibu hayo yatakayopatikana kutokana na ziara ya aina hii.
Makamu na Katibu Mkuu wanakwenda kunolewa mfumo wa nchi hizo uwaingie vizuri?
What a waste of resources, and more importantly 'Time'? Hizi ndiyo ziwe 'model' kwa hali ya waTanzania wa leo hapa?
Tuuachie "muda" uzungumze!
Jamani hii ni Jamhuri ya MUUNGANO wa Tanzania, mbona upande wa pili je? Pia hakuna uwiano wa Jinsia, walau Mjumbe Minja wa Kibosho (sorry, wa Morogoro) angelikuwamo. Au yule mdada Mshashi anajataheed sana kuwasaliti wanawake wenzie kina Mdee. Lakini lakini, Dada Sherry je? Ni yule aliyemkaribisha Rais huko Moshi. You know, Sharifa, nadhani ni kabila moja na Rais lafudhi zao Kiswahili zinafanana. Hii ingetupa gender balance na muungano balance swaafi. But never mind, no peoblem; next time wakienda USA msisahau kujirekebisha.Kwa kuanzia watatembelea Italia na Ujerumani .
Taarifa kamili ya ziara hiyo ya Ghafla hii hapa
View attachment 2646728
Ushamba unakusumbua ndugu mtanzania. Ndo mana hata ukiona stand ya tofauti na ile ya chato unakimbilia kukatika. Umesahau kuwatukana hapo. Labda ndo kilichobaki kwako. Tembea uone mkuu.Matumizi ya hovyo kabisa ya kodi za watanzania
Ziara inawahusu viongozi wa Juu kabisaJamani hii ni Jamhuri ya MUUNGANO wa Tanzania, mbona upande wa pili je? Pia hakuna uwiano wa Jinsia, walau Mjumbe Minja wa Kibosho (sorry, wa Morogoro) angelikuwamo. Au yule mdada Mshashi anajataheed sana kuwasaliti wanawake wenzie kina Mdee. Lakini lakini, Dada Sherry je? Ni yule aliyemkaribisha Rais huko Moshi. You know, Sharifa, nadhani ni kabila moja na Rais lafudhi zao Kiswahili zinafanana. Hii ingetupa gender balance na muungano balance swaafi. But never mind, no peoblem; next time wakienda USA msisahau kujirekebisha.
Nitajie majina yao na vyeo vyao....Ziara inawahusu viongozi wa Juu kabisa
Majina na vyeo viko pale juu kwenye Taarifa ya ChademaNitajie majina yao na vyeo vyao....
Mh Mbowe(mwenyekiti) mh Lissu (makamu mwenyekiti)na JMnyika(katibu mkuu)Nitajie majina yao na vyeo vyao....
Umekosea cheo cha mtu wa pili, taja vizuri. Tusiwe kama punguani, ukiulizwa swali jibu kwa ukamilifu.Mh Mbowe(mwenyekiti) mh Lissu (makamu mwenyekiti)na JMnyika(katibu mkuu)