Viongozi wa dini na wafanyabiashara jiepusheni na siasa zitawagharimu sana

Kila kitu ni siasa, hata aina ya simu inayotumia ni siasa, chakula unachokula ni siasa unapokaa ni siasa. Unapoogopa kukosoa ni siasa ukikosoa ni siasa vilevile
 
Nahisi ujanielewa vizuri.. Take it leave it...this is Africa
Wewe ndio hujielewi, utakuwaje kiongozi wa dini usikemee dhuruma, ufisadi, mauaji yanayaaminika yanafanywa na vyombo vya dola, utekaji n.k, kushindwa kuikemea serikali dhidi ya maovu yake ni kukosa uhalali wa kuwa kiongozi wa dini
 
Mtoa mada umenifanya niwaze jinsi wana was Israel walivyokuwa wanafanya siasa jangwani wapo waliomkosoa Mungu na kumlalamikia kwamba kawaleta jangwani wafe bora misri ambapo walikuwa watumwa.
Mungu alichowafanya kwanza walisota jangwani miaka 40. Pili nunungunikaji na wasambaza sumu kama Lisu wakafa jangwani. So sad.
 
Mpumbavu mbowe hapendi wakosoaji
Wewe tatizo lako hujielewi huna fikra huru, unafikiri kwa kutumia akili za kishabiki zisizo na fact, jaribu kuwa mtumwa wa akili zako mwenyewe, usikibali kuwa mtumwa wa wanasiasa uchwara kama mwenyekiti wa ccm taifa asiyetambua thamani ya uhai wa mwanadamu
 
Yote nayajua...hata km Rais atakuwa mbowe maisha ni Yale Yale...jimboni kwake kuna nn?
Dogo sikia la mkuu....km huna base ya maisha kosoa tu utakavyo BT km unabase mtumishi wa umma,kiongozi wa dini,mfanyabiashara jaribu alafu utaona yatakayokupata husiwe MTU mjinga mjinga uelewi
Tatizo lako unawaza uchumia tumbo pekee badala ya kuwaza maslahi mapana ya jamii nzima ya sasa na ijayo
 
Unasema Africa afu unatolea mfano Marekani. Hivi unafikiri sawa sawa kweli au umeandika post huku umekunywa viroba
 
Hii ni Afrika km we ni mfanya biashara au kiongozi wa dini kuwa makini na ukosoaji wa wazawazi kwa serikali..
Nchi zetu za kiafrika ni changa sana kisiasa uwa wanatabia ya kushughulika na wakosoaji..
Huu ni utaratibu hata wewe unayesoma hii SMS unafaweza Fanya angalia hii mifano...
Congo...katumbi kakimbia yuko south.
Tanzania...mbowe kamtimua zito,kitila.
USA: baba la siasa trump kamfukuza waziri wa nje sababu ni mpinzani ...
Majumbani..mtoto wako wa kiume akileta kibezi unamfukuza...wamama daily wanawafukuza mabinti wa kazi kutetea wadhfa...
Nyumba za ibada wanafukuzana daily...
So kwa namna hali ilivyo kuwa makini hasa km unaitegemea serikali kufanikiwa mambo yako....jiweke mbali kusiasa..husimuige mbowe ile ni field yake...
NB:Watakufirisi.
Haki inadaiwa kwa nguvu hailetwi kwenye silver plate see you on 26/4
 
Mtoa mada umenifanya niwaze jinsi wana was Israel walivyokuwa wanafanya siasa jangwani wapo waliomkosoa Mungu na kumlalamikia kwamba kawaleta jangwani wafe bora misri ambapo walikuwa watumwa.
Mungu alichowafanya kwanza walisota jangwani miaka 40. Pili nunungunikaji na wasambaza sumu kama Lisu wakafa jangwani. So sad.
Kwa Hiyo Mweshimiwa Jiwe Ndio Mungu Wenu!
 
Mleta thread, sehemu salama uliyotakiwa kuwepo ni Mirembe ukiendelea na tiba ya nguvu ili upone huo uendawazimu wako uliosababishwa na matumizi ya uvutaji bange, petrol, gundi na utumiaji miraa. Muda sio mrefu utaanza kutembea uchi usipowahi mirembe.
 
Aisee, watu kama nyinyi kumbe bado mpo? Kumbe evolution inaendelea, kwanini usiseme? Hukuandikiwa kufia hiyo shughuli unayofanya SAA hz.
 
Hii ni Afrika

Kama wewe ni mfanyabiashara au kiongozi wa dini kuwa makini na ukosoaji wa wazawazi kwa serikali. Nchi zetu za kiafrika ni changa sana kisiasa uwa wanatabia ya kushughulika na wakosoaji..

Huu ni utaratibu hata wewe unayesoma hii SMS unafaweza Fanya angalia hii mifano.

Congo - Katumbi kakimbia yuko South.
Tanzania - Mbowe kamtimua Zito, Kitila.
USA: Trump kamfukuza waziri wa nje sababu ni mpinzani
Majumbani: Mtoto wako wa kiume akileta kibezi unamfukuza wamama daily wanawafukuza mabinti wa kazi kutetea wadhfa.
Nyumba za ibada wanafukuzana daily...

So kwa namna hali ilivyo kuwa makini hasa km unaitegemea serikali kufanikiwa mambo yako jiweke mbali kusiasa..husimuige mbowe ile ni field yake.

NB: Watakufilisi.
halafu uonevu huu ndiyo uishe lini??

bila ya kelele za kina Tutu kule Sauzi unadhani apartheid ingetoweka kule??

ama...bila mashehe wa miaka ile wasingetoa support kwa Mwalimu kupigania uhuru, unadhani wakoloni wangetupa huo uhuru kwenye kishaza cha dhahabu 1961??
 
Kukosoa au kukosolewa ni sifa ya binadamu. Asiye penda kukosolewa ni dhaifu. Tanzania ni mali yetu sote. Sio mali ya mtu mmoja.
 
Mara siasa mara wakina mama na house girls, mara viongozi wa dini, mara Zitto na Mbowe.

Aliyeelewa anieleweshe
 
Hii ni Afrika

Kama wewe ni mfanyabiashara au kiongozi wa dini kuwa makini na ukosoaji wa wazawazi kwa serikali. Nchi zetu za kiafrika ni changa sana kisiasa uwa wanatabia ya kushughulika na wakosoaji..

Huu ni utaratibu hata wewe unayesoma hii SMS unafaweza Fanya angalia hii mifano.

Congo - Katumbi kakimbia yuko South.
Tanzania - Mbowe kamtimua Zito, Kitila.
USA: Trump kamfukuza waziri wa nje sababu ni mpinzani
Majumbani: Mtoto wako wa kiume akileta kibezi unamfukuza wamama daily wanawafukuza mabinti wa kazi kutetea wadhfa.
Nyumba za ibada wanafukuzana daily...

So kwa namna hali ilivyo kuwa makini hasa km unaitegemea serikali kufanikiwa mambo yako jiweke mbali kusiasa..husimuige mbowe ile ni field yake.

NB: Watakufilisi.
Siasa inahusu maisha ya watu wa aina zote ila uongozi wa siasa ni wa chache. Kutenga jamii Fulani isiguse masuala ya maisha yao ni kuweka rehani maishà yao ktk mikono isiyo salama.

Makundi yote lazima yashiriki maamuzi ya nini hatma ya maisha yao.
 
Unasema this is Africa halafu unatoa mfano wa TRUMP....what are u smoking bro?
 
Back
Top Bottom