Viongozi wa dini kuacha kukemea serikali kwa kuacha wananchi kufa Loliondo ni unafiki!

Mtu wa Mungu

JF-Expert Member
Nov 9, 2010
444
19
Inashangaza viongozi wa dini kuona hili la CDM kuandamana ndiyo inatishia amani na kulikoromea, lakini wananchi kwa makumi yao wanakufa kila siku Loliondo kwa visingizio vya tiba isiyo na leseni wala uthibitisho wa kitaalam huku serikali ikisherehekea hawa viongozi kwao si tatizo??????!!!!!!!
Hii ni nchi ya ajabu sana!!!!!!; yaani wanaopigania kuleta haki na usawa katika jamii , hao ndiyo maadui wa amani nchini???? Tukumbuke kwamba waasisi wote wa amani inayoendelea kwa kiasi kidogo sana sasa hivi wote ni marehemu!!!!!! Viongozi waliobaki wanaodai kudumisha amani huku ni washirika wa ufisadi-labda tuseme hawa viongozi wa dini wanaoona kwa macho ya mafisadi labda ni washirika wao-nani ajuaye??? SIKU ZOTE KAHUNA AMANI YA KWELI PASIPO HAKI!!! PIA SIKU ZOTE KAMA HAKUNA HAKI NA USAWA KUMILIKI NA KUNUFAIKA NA RASILIMALI ZA NCHI MTU YEYOTE MWENYE HATARAJII AMANI KUWEPO KATIKA JAMII!!!!! Kwa raia ye yote mwenye akili timamu, chama kilicho na maono ya kukwamua nchi hii ndicho kinachosakamwa utadhani ni wezi, wakati mafisadi wanaofilisi nchi hii, hao ndiyo viongozi wadumisha amani??????? SHAME TANZANIA!!!!!!!!!!!! AIBU KIONGOZI YEYOTE WA DINI AU CHAMA ANAYETAKA KUTUFANYA TUCHUKIE JITIHADA ZA KUJENGA MISINGI YA AMANI YA KUDUMU!!!!!!!!!!!
 
Inashangaza viongozi wa dini kuona hili la CDM kuandamana ndiyo inatishia amani na kulikoromea, lakini wananchi kwa makumi yao wanakufa kila siku Loliondo kwa visingizio vya tiba isiyo na leseni wala uthibitisho wa kitaalam huku serikali ikisherehekea hawa viongozi kwao si tatizo??????!!!!!!!
Hii ni nchi ya ajabu sana!!!!!!; yaani wanaopigania kuleta haki na usawa katika jamii , hao ndiyo maadui wa amani nchini???? Tukumbuke kwamba waasisi wote wa amani inayoendelea kwa kiasi kidogo sana sasa hivi wote ni marehemu!!!!!! Viongozi waliobaki wanaodai kudumisha amani huku ni washirika wa ufisadi-labda tuseme hawa viongozi wa dini wanaoona kwa macho ya mafisadi labda ni washirika wao-nani ajuaye??? SIKU ZOTE KAHUNA AMANI YA KWELI PASIPO HAKI!!! PIA SIKU ZOTE KAMA HAKUNA HAKI NA USAWA KUMILIKI NA KUNUFAIKA NA RASILIMALI ZA NCHI MTU YEYOTE MWENYE HATARAJII AMANI KUWEPO KATIKA JAMII!!!!! Kwa raia ye yote mwenye akili timamu, chama kilicho na maono ya kukwamua nchi hii ndicho kinachosakamwa utadhani ni wezi, wakati mafisadi wanaofilisi nchi hii, hao ndiyo viongozi wadumisha amani??????? SHAME TANZANIA!!!!!!!!!!!! AIBU KIONGOZI YEYOTE WA DINI AU CHAMA ANAYETAKA KUTUFANYA TUCHUKIE JITIHADA ZA KUJENGA MISINGI YA AMANI YA KUDUMU!!!!!!!!!!!

jiandae kuona thread yako inafungwa au inahamishwa
 
Big up for good article! Tatizo ni kwamba wenye uwezo wa kupata hizi taarifa ni wachache, na hata wanaozipata wana matatizo kwani umeme nao ni kero tosha. Sijamtukana yeyote ila nasema viongozi wetu "mind set" zao zimelala na hakuna wanachofanya.. Hebu fikiria serikali inayobariki dawa ya kiimani ambayo haina scientific verification. Inanishangaza kuwa cjaona mgonjwa yeyote aliedhibitishwa na daktari kuwa amepona ugonjwa sugu, ila watu ndo kwanza kumekucha na kukimbilia Loliondo. Nacctiza cjamdharau Babu, ila napata shida, Watz tunaelekea wapi? Huo uchunguzi wa wizara ya afya kwanini usitoe matokeo juu ya dawa ya Loliondo ili tupate go ahead kutoka kwa wataalam wetu ndani ya serikali! What kind of country is Tanzania? I'm sorry to whoever I have caused inconvenience. Namshukuru mtoa mada..
 
Mkuu viongozi wa dini siyo elected officials na wala hawaja pigiwa na mwanancho yoyote. Ni haki yao kutake up ishu yoyote wanayo iona ya maana kwa sababu hata waseme kuna watakao lalamika kwa nini hawakai kimya na hata waki kaa kimya kuna watakao lalamika kwa nini hawasemi. Nashauri hizo hasira zako uzilenge kwa viongozi walio pigiwa kura na ambao jukumu la kulinda wananchi ni lao.
 
Hii nayo ni sread? Umekosa cha kubandika . Reeefu halafu pumba.

Ungeisoma uielewe ndo uikosoe. Kusema kuwa ni pumba na ni ndefu inadhihirisha jinsi usivyopenda kusoma makala, na kwa maana hiyo uwezo wako wa ku-analyise mambo ni mdogo sana. Nakushaui kama huna la kuchangia kwenye mada za watu, usizibeze kwa kuwa wapo watakaochangia. We endelea na ufinyu wa mawazo, ni faida kwako. Watz wa aina hii mko wengi. Badilika acha usingizi.
 
Hao viongozi wa Sirikali na Dini nao wamepanga foleni kungojea kikombe!:lol:
 
Big up for good article! Tatizo ni kwamba wenye uwezo wa kupata hizi taarifa ni wachache, na hata wanaozipata wana matatizo kwani umeme nao ni kero tosha. Sijamtukana yeyote ila nasema viongozi wetu "mind set" zao zimelala na hakuna wanachofanya.. Hebu fikiria serikali inayobariki dawa ya kiimani ambayo haina scientific verification. Inanishangaza kuwa cjaona mgonjwa yeyote aliedhibitishwa na daktari kuwa amepona ugonjwa sugu, ila watu ndo kwanza kumekucha na kukimbilia Loliondo. Nacctiza cjamdharau Babu, ila napata shida, Watz tunaelekea wapi? Huo uchunguzi wa withinkinghzara ya afya kwanini usitoe matokeo juu ya dawa ya Loliondo ili tupate go ahead kutoka kwa wataalam wetu ndani ya serikali! What kind of country is Tanzania? I'm sorry to whoever I have caused inconvenience. Namshukuru mtoa mada..

Not only mind set but also suffering from lazy thinking!
 
Kweli taifa hili lina matatizo makubwa!!!!!!!!! Hata miongoni mwa Great Thinkers kuna wenye akili mgando!!!!!!!!!!!???? Yaani wanashabikia hata hili janga la ufisadi???? I can't imagine!!!!!!!!!! Yaani mpaka sasa hata idadi ya waTz 15 wanaoripotiwa kufa Loliondo kila siku kwao ni habari njema!!!!!!!???????????? Amaa kweli wapo wanaotamani Nyerere afufuke arudi atawale kuliko hili genge la mafisadi na makuadi wao katika jamii hii !!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Inashangaza viongozi wa dini kuona hili la CDM kuandamana ndiyo inatishia amani na kulikoromea, lakini wananchi kwa makumi yao wanakufa kila siku Loliondo kwa visingizio vya tiba isiyo na leseni wala uthibitisho wa kitaalam huku serikali ikisherehekea hawa viongozi kwao si tatizo??????!!!!!!!
Hii ni nchi ya ajabu sana!!!!!!; yaani wanaopigania kuleta haki na usawa katika jamii , hao ndiyo maadui wa amani nchini???? Tukumbuke kwamba waasisi wote wa amani inayoendelea kwa kiasi kidogo sana sasa hivi wote ni marehemu!!!!!! Viongozi waliobaki wanaodai kudumisha amani huku ni washirika wa ufisadi-labda tuseme hawa viongozi wa dini wanaoona kwa macho ya mafisadi labda ni washirika wao-nani ajuaye??? SIKU ZOTE KAHUNA AMANI YA KWELI PASIPO HAKI!!! PIA SIKU ZOTE KAMA HAKUNA HAKI NA USAWA KUMILIKI NA KUNUFAIKA NA RASILIMALI ZA NCHI MTU YEYOTE MWENYE HATARAJII AMANI KUWEPO KATIKA JAMII!!!!! Kwa raia ye yote mwenye akili timamu, chama kilicho na maono ya kukwamua nchi hii ndicho kinachosakamwa utadhani ni wezi, wakati mafisadi wanaofilisi nchi hii, hao ndiyo viongozi wadumisha amani??????? SHAME TANZANIA!!!!!!!!!!!! AIBU KIONGOZI YEYOTE WA DINI AU CHAMA ANAYETAKA KUTUFANYA TUCHUKIE JITIHADA ZA KUJENGA MISINGI YA AMANI YA KUDUMU!!!!!!!!!!!

Mbona wakikemea mnawaandama au unawachagulia cha kukemea?
 
Hii nayo ni sread? Umekosa cha kubandika . Reeefu halafu pumba.


Je huu ni uhuru wa kuthibitisha mawazo ya mtu?....ni vizuri ukatoa hoja juu ya pumba
za mtu huu ni ushauri wangu tu ili tusiojua utuelimishe nasi tupate maana halisi ya great
thinker.
 
Big up for good article! Tatizo ni kwamba wenye uwezo wa kupata hizi taarifa ni wachache, na hata wanaozipata wana matatizo kwani umeme nao ni kero tosha. Sijamtukana yeyote ila nasema viongozi wetu "mind set" zao zimelala na hakuna wanachofanya.. Hebu fikiria na serikali inayobariki dawa ya kiimani ambayo haina scientific verification. Inanishangaza kuwa cjaona mgonjwa yeyote aliedhibitishwa daktari kuwa amepona ugonjwa sugu, ila watu ndo kwanza kumekucha na kukimbilia Loliondo. Nacctiza cjamdharau Babu, ila napata shida, Watz tunaelekea wapi? Huo uchunguzi wa wizara ya afya kwanini usitoe matokeo juu ya dawa ya Loliondo ili tupate go ahead kutoka kwa wataalam wetu ndani ya serikali! What kind of country is Tanzania? I'm sorry to whoever I have caused inconvenience. Namshukuru mtoa mada..


Sifanyi utetezi kwa serikali na wala kwa mtoa mada ila nachangia kama mtu
ambaye naijua imani na kidogo sayansi.....kwa mtazamo rahisi serikali haiwezi
kusitisha utabibu unaoandamana na imani za kidini na ndiyo maana serikali inapinga
waganga wa jadi wenye madai kama ya babu na pia hii ndiyo sababu ya imani
kutojadiliwa kwa mantiki za kifalsafa......you cannot reason on faith because faith has no evidence on its existence.....hivyo serikali haina kosa,mtoa maada hajakosea maana ni uhuru wake wa kimawazo,nawe hujakosea maana una uhuru pia.

Na sayansi ya kweli haipingani na imani za dini ingawa yenyewe inataka kuthibitisha
ukweli wa kidini na hilo toka nyakati za sayansi ya awali hadi sasa.Pole kwa majukumu mkuu.
 
Mbona jana kwenye kilele cha siku ya kifua kikuu naibu waziri wa afya alisema ni marufuku kwa waganga wa kienyeji kujitangaza wanatibu magonjwa sugu lakini hakusema kuhusu huyu wa loliondo au yeye ni tofauti?
 
Great Thinkers mpaka sasa hamjaona kwamba vigogo wa serikali hii ya CCM wana maslahi kwa huyu mganga wa jadi wa Loliondo??? Kwa nini yule wa Tarakea wamemzuia kufanya tiba kama yule wa Loliondo-maana wote wameoteshwa, tena wote wanadai kutibu kwa imani za dini!!!!! Wala hili halihitaji kuwa na PhD kuliona-ni hekima ndogo tu-huyu yeye anaendelea lakini wanaofuata nyuma wanawekewa ngumu-huu ni ubaguzi wa aina yake-wa kidini!!!!!!!!!!!!!!!Matokeo yake ni taifa kugawanyika; ni wangapi wamethiitishwa kupona kwa tiba ya Loliondo kwa vipimo vya kisheria????????? kama siyo mambo ya namna namna, ni nini basi??????????????????
 
Back
Top Bottom