Architect,, mpashe huyu mlugaluga anayetawaliwa na jazba. Mimi naleta ushahidi wa kutosha,, sasa nikishaleta, matusi haya atayaludishia kwake au? Hacheni kuninyanyapaa kisa nataka kuuanika uozo wa baadhi ya viongozi wa CDM ktk kashfa ya madini.Watafute kabisa mahali pa kuficha uso wao maana ni aibu. Tutaona.
Dume la Mende,
Kwa ushauri tu, usikurupuke kuweka post isiyo na ushahidi wa kutosha.....inaonekana umezisikia story mtaani ukakimbilia kupost hapa jukwaani na sasa unahangaika kutafuta ushaidi mwishowe unaishia kutupa mipasho tu naweka sasa hivi mala subiri naweka na kuishia kujibu post tu......cha msingi wewe ungepost na ushahidi wako kisha watu wacomment lakini kwa sasa utatukanwa weeeeeeeeeee na utaonekana huna maana
Weka ushahidi watu waudadavue sio kuleta longolongo kama za CCM