Nchi hujengwa na Wananchi wenyewe. Hali ni tofauti kwa bara langu la Afrika ya watu weusi.
Nimezunguka nchi yangu na kujionea kwa macho yangu maisha ya watanzania wengi. Kusema ukweli, kazi ya kuijenga nchi bado tunayo.
Barabara mbovu
Nyumba za makazi mbovu
Vumbi kila kona
Nzi na mbu
Uchafu
Miundombinu ya maji taka
Hali ni mbaya zaidi katika jiji la Dar es salaam.
Wito wangu kwa viongozi wote: “Kuweni wazalendo na hakikisheni inajengwa vizuri”.
Nimezunguka nchi yangu na kujionea kwa macho yangu maisha ya watanzania wengi. Kusema ukweli, kazi ya kuijenga nchi bado tunayo.
Barabara mbovu
Nyumba za makazi mbovu
Vumbi kila kona
Nzi na mbu
Uchafu
Miundombinu ya maji taka
Hali ni mbaya zaidi katika jiji la Dar es salaam.
Wito wangu kwa viongozi wote: “Kuweni wazalendo na hakikisheni inajengwa vizuri”.