Viongozi kuapa kwa kutumia vitabu vya dini je,imekaaje hiyoo??

LUMBAKALA

Senior Member
Dec 29, 2010
148
20
Mara nyingi Viongozi wanapochaguliwa ama kuteuliwa utakuta wanaapa kwa kutumia vitabu vitakatifu,yaani kama Muislamu utaapa kwa Quraan na Mkristo ataapa kwa biblia.Sasa swali linakuja wanajamii Forum tueleweshane,mbona hawa Viongozi huwa wanasahau kuwa wakati wa kuapishwa walitumia vitabu vitakatifu ila wanafisadi,wanadoans, wanadhulumu na hata kuiibia nchi ? Nielewesheni jamani
 
Mara nyingi Viongozi wanapochaguliwa ama kuteuliwa utakuta wanaapa kwa kutumia vitabu vitakatifu,yaani kama Muislamu utaapa kwa Quraan na Mkristo ataapa kwa biblia.Sasa swali linakuja wanajamii Forum tueleweshane,mbona hawa Viongozi huwa wanasahau kuwa wakati wa kuapishwa walitumia vitabu vitakatifu ila wanafisadi,wanadoans, wanadhulumu na hata kuiibia nchi ? Nielewesheni jamani

Mtazamo wangu hili lifutwe kabisa na wala viongozi wa dini wasihusike katika shuhuli rasmi za kiapo. Kama ni muhimu kwa muapaji basi aandaliwe shughuli ya kidini ama kikabila baadae ambayo haitakuwa rasmi kisheria. Uzuri ni kuwa viongozi wetu wa juu wameanza kuliona hilo na kama sikosei Rais Kikwete na baadae Wziri Mkuu Pinda walitumia katiba kuapa na sio msahafu ama biblia.
 
Back
Top Bottom