Angalia kule kwao kwa Gaddaf kuna nini sasa nchi haikaliki kwa sababu ya yeye.Hiyo sifa ya namba moja inatoka wapi?Labda wewe ulikuwa unaishi mbinguni kwa hiyo ukashindwa kujua yanayotendeka hapa duniani.Hata usemeje roho yangu ni GHADAFI TU .......
Bado kwa Ghadafi tu....sorry . .!Angalia kule kwao kwa Gaddaf kuna nini sasa nchi haikaliki kwa sababu ya yeye.Hiyo sifa ya namba moja inatoka wapi?Labda wewe ulikuwa unaishi mbinguni kwa hiyo ukashindwa kujua yanayotendeka hapa duniani.
Naona imepangwa na mzunguHuyo mama kwenye list yangu ningemuondoa,
Kwakuwa list ni ya kwako basi naiheshimu
Ame copy tuLabda ulikuwa hujazaliwa Enzi za akina Marie Ngouabi, Abdel Nasser, Kenneth Kaunda, Houwari Boumadiane, Jerry Rawlings, Seretse Khama.....watu waliokuwa safi wenye msimamo na kuziinua nchi zao. Wewngine hata walitoa mchango mkubwa kwa ukombozi wa Afrika: Kaunda, Boumadiane, Abdel Nasser.
Sawa labda na wewe una akili mbovu zake za kuua watu ovyo na kuwazika kaburi moja.Bado kwa Ghadafi tu....sorry . .!
Mimi naona ni wewe mwenye mawazo machafu yaliyo pitwa na wakati . ...kaa katika trush you rubish nincampup . ..Sawa labda na wewe una akili mbovu zake za kuua watu ovyo na kuwazika kaburi moja.
Sekou Toure hayumo kwenye lost yako?Hii ndio list yangu
1. J.K Nyerere
2. Haile Selasie
3. Kwame Nkurumah
4. Patric Lumumba
5. Nelson Mandela
6. Samora Machel
7. Jomo Kenyata
8. Robert Mugabe
9. Thomas Sankara
10. Muamar Gadafi
Wewe ndiye mwenye mawazo machafu unaemtetea dikteta,to hell with your stupidity.Mimi naona ni wewe mwenye mawazo machafu yaliyo pitwa na wakati . ...kaa katika trush you rubish nincampup . ..
Mwanaume aliyemsaidia Nduli-Idd Amin Dada......vita ya kagera.Sawa kabisa, namwongeza MWANAUME GADAF
Kuna wengine wanampenda Gaddaf kwa sababu wameelemewa na Mvinyo haswa wa Dini hizi.Ghadafi aliniudhi kumsaidia nduli Idd Amin.
Naona Mahaba yamekuelemea!Ukiweka orodha ya Viongozi bora Africa bila ya Kumtaja Mstahiki Dr. Fundi, Basketballer Mwanamtandao, Amiri Jeshi Mstaafu Dr. Prof Jakaya Mrisho Kikwete ni Uhayawani wa Kiwango cha Lami!