engine rock
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,263
- 1,106
Nabii hakubaliki kwao mkuu, mandela haingii kwa mw nyerere hata kidogo, sioni mandela alichoifanyia africa.Hapo na mimi sielewi kwanini kamweka maana binafsi naamini MANDELA alipofungwa akatoka hakuwa yule mandela tena mpigania watu wake, pia he did nothing to Africa in General zaidi alikuwa rafiki wa makaburu alipotoka ndio maana wanampa promo hakuwa kipingamizi kwao