Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Tumsamehe mleta hoja ni katika harakati za kuwahi ku-post nafikiri atarekebisha, ila ujumbe ndio huo, sijui hao viongozi wa ngazi za juu ni akina nani labda ngazi za juu za shina kwenye vijiwe. What I know, Ngeleja asicheze na wasukuma labda akae huku huku asirudi Dar, amuulize Dialo pamoja na kuwa na TV, redio yake tulikula vyuku vyake sana na kumwachia manyoya.ZINGATIA KWENYE RED, hii wilaya ya Nyanza imekuwa ngeni kwangu labda kwavile nimekuwa sipo huko muda mrefu but nimegoogle sikuipata kabisa. Nilipotoka mimi niliacha Mwanza ilikuwa na wilaya kama ifuatavyo. ILEMELA, NYAMAGANA, SENGEREMA, GEITA, MAGU, KWIMBA, MISUNGWI NA UKEREWE. Hii wilaya ya Nyanza iko upande gani mkuu?