Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,012
Ok, just-in news zasema Obama amependekeza pesa pungufu kwa ajili ya kupambana na janga la ukimwi..hii ikiwa ni kinyume cha ahadi yake ya kampeni kuwa atakuwa akiongeza funds kwa ajili ya mapambano ya HIV-AIDS for at least 1 billion a year.
Hii trimming of funds inaweza kuonekana kama insignificant figure kwa watu wasotaka kutumia muda kufanya tafakuri, but i tell you this is inline with the BILDERBERG GROUP policy kuhakikisha kuwa idadi ya watu duniani hasa wa race za akina sisi inashuka by 80%. Kalagabaho.
Hii trimming of funds inaweza kuonekana kama insignificant figure kwa watu wasotaka kutumia muda kufanya tafakuri, but i tell you this is inline with the BILDERBERG GROUP policy kuhakikisha kuwa idadi ya watu duniani hasa wa race za akina sisi inashuka by 80%. Kalagabaho.