Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
Kweli wewe ni mkomavu mkuu hapa JF na mwenye kuhitajika kuigwa kwa ujasiri huu ulioonyesha dakika chache zilizopita kwenye uzi huu. Bip up sana mkuu!!!!!
Kweli mkuu huyu ni mtoto wa marehemu Joha Ali Nyabange ambaye aliolewa na Kiboko Nyerere. Hivyo naomba kufuta usemi wanajanvi.