mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,730
Wana JF leo asb ITV katika kipindi cha Kumekucha,katika mahojiano ya Mbunge wa Musoma Mjini na watangazaji wa ITV,eti kwani yeye ni mtoto wa mdogo wake na baba wa TAIFA na Muasisi wa CCM kwa nini yupo CHADEMA
Duh amewajibu kuwa hajaona mkataba kati ya ukoo wa Nyerere na CCM kwa hiyo hata CHADEMA ni chama cha Watanzania kama CCM
Ila Dogo yupo fit kwenye mahojiani na waandishi
Sjui nani ana Mapungufu kwenye mashine za CHADEMA(wabunge)
Duh amewajibu kuwa hajaona mkataba kati ya ukoo wa Nyerere na CCM kwa hiyo hata CHADEMA ni chama cha Watanzania kama CCM
Ila Dogo yupo fit kwenye mahojiani na waandishi
Sjui nani ana Mapungufu kwenye mashine za CHADEMA(wabunge)