Tanzaniaist
Senior Member
- Nov 29, 2011
- 161
- 156
Imefika sasa CHADEMA itambue hazina ya wabunge waliokuwa nao..,na kutumia hazina hiyo kwenye kukipa nguvu chama hasa kwenye safu ya uongozi..,nimefurahishwa sana Juhudi za Mbunge wa Musoma Mjini..,VINCENT NYERERE kwa kufanya kazi kubwa kama meneja wa Kampeni na kukiwezesha chama na kuibuka na ushindi arumeru Mashariki na pia kumpa mbinu mbali mbali na technics Joshua Nassari (mbunge mteule) katika Kampeni..,ukizingatia CCM walitumia nguvu ya Pesa,Rushwa,Matutsi na vile vile Uchawi ili kupata hilo jimbo la Ubunge...! lakini wananchi waliamua kula CCM na kuipa kura Chadema..!ningependa kutoa 2 hayo maoni yangu