Nahman
JF-Expert Member
- Oct 4, 2023
- 522
- 1,521
Hi guys…
VIKOBA NI NINI? ni mfumo wa kuweka na kukopa kwa wanachama waliojiunga kwa pamoja na kuunda kikundi kwa malengo ya kujikwamua kiuchumi.
Ni na ni sahihi ya kua vikundi hivi vimekua na matokeo chanya kijamii, na familia kiujumla
Ila kwa bahati mbaya kwa mkosaji wa kipato kwa muhusika imewapelekea akina dada wengi kujiingiza kwenye biashara ya kuuza mwili bila wao kupenda
Mtu anajiingiza huko ,unakuta anatumia hata majina matatu mpaka ma nne… ikiwa kipato chako sio rafiki unategemea nini?
sio mala moja kupokea ujumbe mfupi kwenye simu yangu “nahman nnaomba elfu kumi sina hela ya mchezo”
Unajiuliza kwanini unaingia kwenye mchezo wakati hauna namna thabiti ya kupata hela?
Mbaya zaidi wakiwa kwenye wakati hu mgumu hua wako radhi kufanya chochoe apate hiyo hela
Ikumbukwe ya kua fedha ya mwanaume haitumiki bule bila ya kua na manufaa kwa mtoaji kwa namna yoyote ile! Nikupe elfu kumi ikiwa sipati chochote kutoka kwako ni sawa? Hapana
Ni lazima ntataka kitu toka kwako
Ukiona manzi yako inachezamchezo na haina kipato cha kueleweka
Fuatilia..
All the best mnyama(kwa heshima ya taifa)
VIKOBA NI NINI? ni mfumo wa kuweka na kukopa kwa wanachama waliojiunga kwa pamoja na kuunda kikundi kwa malengo ya kujikwamua kiuchumi.
Ni na ni sahihi ya kua vikundi hivi vimekua na matokeo chanya kijamii, na familia kiujumla
Ila kwa bahati mbaya kwa mkosaji wa kipato kwa muhusika imewapelekea akina dada wengi kujiingiza kwenye biashara ya kuuza mwili bila wao kupenda
Mtu anajiingiza huko ,unakuta anatumia hata majina matatu mpaka ma nne… ikiwa kipato chako sio rafiki unategemea nini?
sio mala moja kupokea ujumbe mfupi kwenye simu yangu “nahman nnaomba elfu kumi sina hela ya mchezo”
Unajiuliza kwanini unaingia kwenye mchezo wakati hauna namna thabiti ya kupata hela?
Mbaya zaidi wakiwa kwenye wakati hu mgumu hua wako radhi kufanya chochoe apate hiyo hela
Ikumbukwe ya kua fedha ya mwanaume haitumiki bule bila ya kua na manufaa kwa mtoaji kwa namna yoyote ile! Nikupe elfu kumi ikiwa sipati chochote kutoka kwako ni sawa? Hapana
Ni lazima ntataka kitu toka kwako
Ukiona manzi yako inachezamchezo na haina kipato cha kueleweka
Fuatilia..
All the best mnyama(kwa heshima ya taifa)