Kuna vihoja vinasambaa mitandaoni vya kuonesha kuwa credibility ya CEO mpya wa Yanga ipo questionable.
Watu wanasahau kuwa ni vyombo vya sheria pekee ndiyo vyenye jukumu la kuthibitisha hilo. Na ktk hilo hatujasikia taarifa ya kesi yoyote ambayo huyo bwana alikutwa na hatia. Hana hatia.
Pia, tukumbuke kuna watu waliwahi kufungwa jela kwa vituhuma kama hivyo lkn wakaja kuwa viongozi wa klabu kubwa na wakapata hadi ubunge.
Tuelewe vizuri ma tusikurupuke
Watu wanasahau kuwa ni vyombo vya sheria pekee ndiyo vyenye jukumu la kuthibitisha hilo. Na ktk hilo hatujasikia taarifa ya kesi yoyote ambayo huyo bwana alikutwa na hatia. Hana hatia.
Pia, tukumbuke kuna watu waliwahi kufungwa jela kwa vituhuma kama hivyo lkn wakaja kuwa viongozi wa klabu kubwa na wakapata hadi ubunge.
Tuelewe vizuri ma tusikurupuke