Dijovisonjn
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 466
- 125
Vijana tunatumika zaidi kisiasa kuliko kimaendeleo!
We MCAMERONIWA tumekuchoka!Afadhali umeungama sijui posho unayopewa umeona haitoshi?.Mbona sabodo anawamwagia mapesa kila siku?.Any way nikupungeze kwa kuacha ujinga wa kutumikishwa na magwanda.Vijana acheni kutumikishwa kuvuruga amani ya nchi hii.
Afadhali umeungama sijui posho unayopewa umeona haitoshi?.Mbona sabodo anawamwagia mapesa kila siku?.Any way nikupungeze kwa kuacha ujinga wa kutumikishwa na magwanda.Vijana acheni kutumikishwa kuvuruga amani ya nchi hii.