Vijana wetu wanafanya nini vyio vikuu ???

Aiseeee babayangu ni jambo la kuchekesha kama si kusikitisha, kijana wa nyumba ya jirani yetu hapa mkuu rombo amepata nafasi ya kufika chuo kimoja wapo kikuu ( jina nlifadhi kwa heshima) hapa tanzania.
Alirudi kusherekea chrisimac na mwaka mpya hapa kijiji rombo katika harakati za kuongea nae na kunionyesha jinsi wanavyosoma vyio vikuu kwa rahaa nikabaitika kuona test zake, cha kushangaza na kusikitisha moja ya test zake zenye alama za chini msahishaji alimwandikia kwa herufi kubwa Improve ur english nilishangaa sana na kujiuliza maswali mengi sana kichwani
wakuu mliopata bahati ya kusoma vyio vikuu hawa vijana wetu wanafanya nini mavioni
si bora waje huku mkuu rombo wanisaidie kilimo cha jembe la mkono
nawasilisha kwa masikitiko makubwa

Wahenga walisema,"nyani haoni kundule".Sishangazwi na huyu kijana wa chuo kikuu kutojua lugha ya kigeni yaani kiingerza kwa sababu kwanza ni kutokana na mfumo mbovu wa ufundishaji lugha husika katika shule zetu nyingi hapa Tanzania,lakini pili elimu ya mtu haiwezi kupimwa kwa kutojua lugha ya kigeni.Utafiti uliowahi kufanywa na shirika lisilo la kiserikali la Haki Elimu ulibaini kuwa zaidi ya asilimia 55 ya wabunge wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hawafahamu ligha ya kiingereza kwa ufasaha lakini ni wawakilisi wazuri kabisa wa majimbo yao.Kama hiyo haitoshi hata lugha yetu tu ya Taifa ni tatizo kwa watanzania walio wengi mfano mzuri ni wewe mwenyewe badala ya kuandika "vyuoni" umeandika "mavioni",kusheherekea" badala ya "kusherekea"
Jipange Mkuu.ELIMU KWANZA na si KILIMO KWANZA.
 
Tunatumia kodi zenu vizuri. Hivi boom lini tena jamani wanavyuo wenzangu?
English english kwani naenda kuhudumia waingereza?

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Wahenga walisema,"nyani haoni kundule".Sishangazwi na huyu kijana wa chuo kikuu kutojua lugha ya kigeni yaani kiingerza kwa sababu kwanza ni kutokana na mfumo mbovu wa ufundishaji lugha husika katika shule zetu nyingi hapa Tanzania,lakini pili elimu ya mtu haiwezi kupimwa kwa kutojua lugha ya kigeni.Utafiti uliowahi kufanywa na shirika lisilo la kiserikali la Haki Elimu ulibaini kuwa zaidi ya asilimia 55 ya wabunge wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hawafahamu ligha ya kiingereza kwa ufasaha lakini ni wawakilisi wazuri kabisa wa majimbo yao.Kama hiyo haitoshi hata lugha yetu tu ya Taifa ni tatizo kwa watanzania walio wengi mfano mzuri ni wewe mwenyewe badala ya kuandika "vyuoni" umeandika "mavioni",kusheherekea" badala ya "kusherekea"
Jipange Mkuu.ELIMU KWANZA na si KILIMO KWANZA.

aiseeeee babayangu hilo nalo neno
 
Acha umbulula wewe, english sio elimu ni media (lugha) tu kwa ajili ya kujifunzia maarifa, kushindwa kupangilia grammer (sarufi) isiwe tatizo, hata nchi za asia, nyingi hazijui kiingereza ni india tu ndio wanajua kiingereza kizuri cha grammer kuliko hata waingereza wenyewe. Mbona wewe umeandika vyio, badala ya vyuo na wewe improve your kiswahili. Mfano mwanafunzi anayesoma uhandisi (engineering) tunatagemea ajue lugha ya kimahesabu zaidi kuliko english.
 
Back
Top Bottom