Vijana wa timu ya mauzo wanahitajika.

imma.one

JF-Expert Member
Sep 10, 2011
542
37
Wewe ni kijana mwenye kupenda kujituma na uhuru wa kufanya kazi?
Teachers junction.
Organization inayojihusisha na kuunganisha walimu na shule.
(teachers recruitment agency)
Inatangaza nafasi kwa vijana kumi na tano.
kwa ajili ya timu ya mauzo.
MAJUKUMU
Majukumu yao ni kutembelea mashule na kufungua masoko ya walimu wetu mashuleni.
SIFA:
1.kodato cha nne au sita.
2.awe anajua kingereza.
3.mwenye kujituma.
4.awe mkazi wa dar es salaam,zanzibar,morogoro na tanga.
Interview inatarajiwa kufanyika jumaamosi 20/10/2012.
Magomeni mapipa Dar es salaam.
Malipo:
Ni kwa kamisheni.
Mafunzo ya mauzo ni bure.
KWA MAWASILIANO:
project administrator:
+255655586906 or +255782586906.
Kwa maelezo zaidi tembelea
www.https://jamii.app/JFUserGuide.blogspot.com.
Pia unaweza toa maoni yako kwenye facebook page yetu teachersjunction
 
Nadhani vijana hatuna budi kutumia fursa zetu wenyewe kujikwamua mmmhhh
 
Mbona unakuwa mgumu kuelewa utaweza kuuza kweli?
Maana tangazo liko wazi sana kila kitu.
Rudia tangazo upya kisha uulize
 
Nadhani ingekuwa ukijiunga na jf unaambatanisha vyet vyako maana wengine uelewa tatizo fahamu maan ya recruitment agency au kwa kuwa ni neno la kingereza?
Nenda kajiunge na fb basi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom