imma.one
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 542
- 37
Wewe ni kijana mwenye kupenda kujituma na uhuru wa kufanya kazi?
Teachers junction.
Organization inayojihusisha na kuunganisha walimu na shule.
(teachers recruitment agency)
Inatangaza nafasi kwa vijana kumi na tano.
kwa ajili ya timu ya mauzo.
MAJUKUMU
Majukumu yao ni kutembelea mashule na kufungua masoko ya walimu wetu mashuleni.
SIFA:
1.kodato cha nne au sita.
2.awe anajua kingereza.
3.mwenye kujituma.
4.awe mkazi wa dar es salaam,zanzibar,morogoro na tanga.
Interview inatarajiwa kufanyika jumaamosi 20/10/2012.
Magomeni mapipa Dar es salaam.
Malipo:
Ni kwa kamisheni.
Mafunzo ya mauzo ni bure.
KWA MAWASILIANO:
project administrator:
+255655586906 or +255782586906.
Kwa maelezo zaidi tembelea
www.https://jamii.app/JFUserGuide.blogspot.com.
Pia unaweza toa maoni yako kwenye facebook page yetu teachersjunction
Teachers junction.
Organization inayojihusisha na kuunganisha walimu na shule.
(teachers recruitment agency)
Inatangaza nafasi kwa vijana kumi na tano.
kwa ajili ya timu ya mauzo.
MAJUKUMU
Majukumu yao ni kutembelea mashule na kufungua masoko ya walimu wetu mashuleni.
SIFA:
1.kodato cha nne au sita.
2.awe anajua kingereza.
3.mwenye kujituma.
4.awe mkazi wa dar es salaam,zanzibar,morogoro na tanga.
Interview inatarajiwa kufanyika jumaamosi 20/10/2012.
Magomeni mapipa Dar es salaam.
Malipo:
Ni kwa kamisheni.
Mafunzo ya mauzo ni bure.
KWA MAWASILIANO:
project administrator:
+255655586906 or +255782586906.
Kwa maelezo zaidi tembelea
www.https://jamii.app/JFUserGuide.blogspot.com.
Pia unaweza toa maoni yako kwenye facebook page yetu teachersjunction