TZ-1
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 3,208
- 5,443
Mlolongo wa matukio kabla Mr Ibu hajafariki
Baada ya kupeana talaka na mke wake wa kwanza, mwanamke huyo akapita na pesa zote za jamaa bank.
Mke wa pili naye ikafikia mahali anamshitaki Ibu kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na binti yake wa kumzaa
Huyu mzee ikafika hatua tena akaanza kuumwa kisukari
Baadae alikuwa na ugonjwa wa damu kuganda kwenye mishipa ya damu iliyokufa mguuni
Huyu mzee alichangiwa pesa za matibabu binti yake kapita nazo zote
Mkewe bado alimuomba iPhone 15 alipokuwa yupo anaelekea kukata moto
Aliuza mali zake zote, Mguu wake ukakatwa
Mwishowe, anakufa akiwa ameachwa bila mke, hana mali, hana pesa na hana miguu
Baada ya kufa mwanae naye anabadili jina la akaunti ya tiktok yenye likes 3.9M kuwa yake.
Aise Fear Women
KATU TUSIWAAMINI SANA WAKE ZETU NA WATOTO WETU
NASISI VIJAN TUSIKAZINIE MALI ZA WAZAZI WETU🥸
KARMA IS REALLY
Baada ya kupeana talaka na mke wake wa kwanza, mwanamke huyo akapita na pesa zote za jamaa bank.
Mke wa pili naye ikafikia mahali anamshitaki Ibu kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na binti yake wa kumzaa
Huyu mzee ikafika hatua tena akaanza kuumwa kisukari
Baadae alikuwa na ugonjwa wa damu kuganda kwenye mishipa ya damu iliyokufa mguuni
Huyu mzee alichangiwa pesa za matibabu binti yake kapita nazo zote
Mkewe bado alimuomba iPhone 15 alipokuwa yupo anaelekea kukata moto
Aliuza mali zake zote, Mguu wake ukakatwa
Mwishowe, anakufa akiwa ameachwa bila mke, hana mali, hana pesa na hana miguu
Baada ya kufa mwanae naye anabadili jina la akaunti ya tiktok yenye likes 3.9M kuwa yake.
Aise Fear Women
KATU TUSIWAAMINI SANA WAKE ZETU NA WATOTO WETU
NASISI VIJAN TUSIKAZINIE MALI ZA WAZAZI WETU🥸
KARMA IS REALLY