Mabagala
JF-Expert Member
- Nov 27, 2009
- 1,477
- 325
vijana wa zamani walikuwa wakilazimishwa kwenda ulaya au amerika,tena walikuwa hawapendi,wako tayari kufa lakni wasiende ulaya. Vijana wa sasa wako tayari kufa waende ulaya,hawalizimishwi,hawakamatwi ila wenyewe wanaenda tena kwa kujilipia. Sweet slavish!