Wawakilishi wa BBC wakihojiwa kutoka sehemu mbalimbali wamesema vijana wengi na wanaume ndio waliojitokeza ikilinganishwa na wanawake.
Baadhi ya sababu zilizotolewa na wanawake ni kukatishwa tamaa na mategemeo waliyopewa uchaguzi uliopita, kutishwa na waume wao kuwalazimisha kupigia chama cha waume zao hasa maeneo ya Kusini Mtwara na Songea Ruvuma, Kigoma nk.
Baadhi ya sababu zilizotolewa na wanawake ni kukatishwa tamaa na mategemeo waliyopewa uchaguzi uliopita, kutishwa na waume wao kuwalazimisha kupigia chama cha waume zao hasa maeneo ya Kusini Mtwara na Songea Ruvuma, Kigoma nk.