Ndechumia
JF-Expert Member
- Jul 15, 2011
- 1,103
- 420
kusema watoto wa kike ni bahati mbaya ni kufuru mbele za Mungu coz yeye ndo anaepanga.N A KAMA NI BAHATI MBAYA hata mama ako alizaliwa kipindi cha honeymoon ko tumuite bahati mbaya?Acha udhaifu wewe
mi ninachojua kuwa katika uzazi, chansi ya kuzaa KE ni kubwa kuliko ME (75% KE 25% ME)
refer XX *XY