zimwimtu
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 1,988
- 1,095
siku hizi kuna kaulimbiu hii kwa vijana, ikimaanisha kwamba mimba kwanza ndoa baadae. Imekuwa ni hali ya kawaida kiasi kwamba karib 80% ya ndoa zinazofungwa hapa daslam you find the bride is pregnant. ni jana tu nilihudhulia kikao cha harusi ya rafiki yangu, mitaa ya sinza kwa remi, anataka kamati imtengee kiasi fulani kwa ajili ya honey moon wakati sisi watu wa karibu tunajua gf wake is pregnant ndo maana katukalisha vikao fasta ili kukwepa aibu.
nijuavyo mimi, honey moon ni kwa ajili wa kuwapa maximum privacy maharusi ku-enjoy tendo la ndoa as they are new to each other... (pamoja na kutengeneza mtoto
sasa mimba imo tayari honey moon ya nin?
karibuni kwa maoni yenu kabla sijapeleka hoja binafsi kwenye kikao kijacho kupinga kuwatengea kiasi cha pesa kwa honey moon.
nijuavyo mimi, honey moon ni kwa ajili wa kuwapa maximum privacy maharusi ku-enjoy tendo la ndoa as they are new to each other... (pamoja na kutengeneza mtoto
sasa mimba imo tayari honey moon ya nin?
karibuni kwa maoni yenu kabla sijapeleka hoja binafsi kwenye kikao kijacho kupinga kuwatengea kiasi cha pesa kwa honey moon.