Vijana wengi ndani ya ccm walikuwa wanasikilizia zawadi ya u DC wameula wachuya na kama hawatajali wakate shauri na waahidi kumuacha shetani na mambo yake yote na kwamba watakuwa waaminifu kwa CDM ili nchi ikombolewe.
Siasa za vyeo zitatumaliza, zinatafuna nchi kupitia ccm hadi sasa, napingana na invitation hiyo; Wakae huko huko ambako kuwa mchapakazi ni dhambi kuwa mwadilifu ni kosa,kusema ukweli ni kituko etc?
kabisaaaaa!!,kuna wanaojiita wana mashirikisho ya vyuo vya elimu ya juu..............wanatumiwa km ngazi ya watu kufanikiwa sidhani km kuna hata mmoja aliyepata uDC ,kazi yao kutoa matamko yasiyo na tija,vijana amkeni kabla jua halijawa kali mtaumwa macho.
Huko unauhakika watapata uDC? Siasa za vyeo ni hatari ni bora ukaifuata dira ya chama kuliko ukafuata cheo.......tumeona mwaka 2005 idadi ya wategemea vyeo ilikuwa kuliko idadi ya vyeo.... tukashuhudia baraza kubwa sana la mawaziri..... na yale mabilioni ambayo hatujui hata yalipokwenda.....kuongezwa kwa wilaya na mikoa iliangalau wapambe wapate nafasi bila kujali mzigo wa gharama kwa mlipa kodi ambaye ni mtanzania maskini.... mwisho wa yote ni kuanza kushindana katika nafasi chache zilizopo...kutumia za fitina na kuchafuana ili mpate sababu ya kumwagana...... tupeane vyeo kwa kuangalia uwezo na uadilifu wa mtu na si kwa jinsi alivyopiga debe au urafiki wetu...
Vijana wengi ndani ya ccm walikuwa wanasikilizia zawadi ya u DC wameula wachuya na kama hawatajali wakate shauri na waahidi kumuacha shetani na mambo yake yote na kwamba watakuwa waaminifu kwa CDM ili nchi ikombolewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.